Urais 2015: UKAWA waanza safari

Sidhani kama kwenye kikao cha sasa, nia ni kutoka na majina ya wagombea. Hatua ya kwanza ni kukubaliana na vigezo vitakavyotumika. Vigezo vikishakubalika, basi kazi itakuwa imekwisha.

Mapendekezo yangu, kwa nafasi za udiwani na ubunge, vigezo vinavyoweza kutumika, ni kama ifuatavyo:

1) Idadi ya kura ambazo chama kilipata katika eneo husika kwa nafasi ya ubunge, urais na udiwani mwaka 2010
2) Idadi ya kura ambazo chama kimepata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2014
3) Majimbo ambayo chama kimojawapo cha upinzani kilichopo kwenye UKAWA kinashikilia yaachwe kwenye chama hicho kutoa mgombea


Kwa nafasi ya Urais, vigezo vya chama gani kitoe mgombea wa Urais, viwe kama ifuatavyo:
1) Idadi ya kura ambazo chama kilipata kwa nafasi ya Urais 2010
2) Idadi ya jumla ambayo chama kimepata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2015
3) Uungwaji mkono wa chama katika maeneo/mikoa yenye wapiga kura wengi
4) Mtandao wa chama mpaka ngazi za chini
5) Matokeo huru ya chama kinavyokubalika kwa nchi nzima
6) Chama kilichokubalika kutoa mgombea wa kiti cha urais, kikishamteua
mgombea, kirudishe jina la mgombea kwa wanachama wa UKAWA, na apimwe kukubalika kwake kwa wanaukawa wote
7) Matokeo huru namna mgombea anavyokubalika kwa umma

Hapo watakua wamepiga nyoka kichwani.waanze jimbo kwa jimbo,mkoa kwa mkoa.na washirikiane kampeni.
 
Mgombea wa ukawa ni Lowasa bana kubali kataa mwisho wa siku utaniambia.
 
cuf wao walishatangaza kuwa mgombea wao ni lipumba ova.
 
Sidhani kama kwenye kikao cha sasa, nia ni kutoka na majina ya wagombea. Hatua ya kwanza ni kukubaliana na vigezo vitakavyotumika. Vigezo vikishakubalika, basi kazi itakuwa imekwisha.

Mapendekezo yangu, kwa nafasi za udiwani na ubunge, vigezo vinavyoweza kutumika, ni kama ifuatavyo:

1) Idadi ya kura ambazo chama kilipata katika eneo husika kwa nafasi ya ubunge, urais na udiwani mwaka 2010
2) Idadi ya kura ambazo chama kimepata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2014
3) Majimbo ambayo chama kimojawapo cha upinzani kilichopo kwenye UKAWA kinashikilia yaachwe kwenye chama hicho kutoa mgombea


Kwa nafasi ya Urais, vigezo vya chama gani kitoe mgombea wa Urais, viwe kama ifuatavyo:
1) Idadi ya kura ambazo chama kilipata kwa nafasi ya Urais 2010
2) Idadi ya jumla ambayo chama kimepata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2015
3) Uungwaji mkono wa chama katika maeneo/mikoa yenye wapiga kura wengi
4) Mtandao wa chama mpaka ngazi za chini
5) Matokeo huru ya chama kinavyokubalika kwa nchi nzima
6) Chama kilichokubalika kutoa mgombea wa kiti cha urais, kikishamteua
mgombea, kirudishe jina la mgombea kwa wanachama wa UKAWA, na apimwe kukubalika kwake kwa wanaukawa wote
7) Matokeo huru namna mgombea anavyokubalika kwa umma

Hakuna atakayekubali ujinga kama huu kila kitu kinaanza upya watu wamebadilika siyo wale wa mwaka wa juzi hata wapiga kura wameongezeka.
 
CUF wameshamtangaza Prof. Lipumba, CHADEMA wana mgombea wao wa kudumu, Mzee Slaa...
 
Dr Slaa rais,lipumba wazir wa fedha na uchumi,mbatia wazir wa elimu,mbowe wazir mkuu,si mchezo umekwisha?hawa wote wanashinda kwenye majimbo yao
 
Hatimaye safari ya ukawa imefikia tamati hadi sasa cdm wana mgombea wao wa urais na cuf wana mgombea wao wa kudumu miaka yootee akiwakilisha kundi la imani yake nccr wao ni bendera fuata upepo hakuna muafalka utakaofikiwa na kila mmoja atachukua hamsini zake katiba zao zinawabana

Unagegedwa
 
Lipumba atagombea zanzibar na slaa raisi wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
 
Slaa atagombea nafasi ya Rais wa kanisa kanisa katoliki na. Lipumba jamhuri ya muungano ya Tanzania
 
Back
Top Bottom