Urais 2015: UKAWA waanza safari

Urais 2015: UKAWA waanza safari

Hapa kuna kazi kubwa kukubaliana, hasa nafasi ya urais.
 
.... Inasikitisha Inchi Yenye Mali Nyingi Lakin Inanufaisha Wachache
 
Baada tu ya kusikia wapinzani wameungana, tayari niliwaona wanaingia ikulu 2015

UKAWA Fanya mfanyayo mkijua watanganyika na wazanzibar macho yako kwenu.
Ushauri, toeni hadharani jina la mgombea mapema kabla ya vyama vingine kuwaandaa kisaikolojia wananchi hasa vijijini na kauli mbiu kama SASA RAIS WA 5 KESHAPATIKANA. Wakitangaza wengine badae waonekane wanasindikiza.
 
Slaa atagombea nafasi ya Rais wa kanisa kanisa katoliki na. Lipumba jamhuri ya muungano ya Tanzania

Izi nafasi mbili ziko wazi au unawashwa washa? Alaf technique zenu zishafeli na ukawa hamuwawezi nyie!!
 
Wakati serikali za mitaa wameweka mainjinia na wanasheria, kwa ukawa ili ondoa shaka!!


yeah mgombea udiwani awe na sifa kama ya mgombea ubunge maana madiwani ni chachu ya uchaguzi wanaleta amsha-amsha ni kumrahisishia mgombea ubunge,waweke hata ma phd ma prof kwenye udiwani
 
yeah mgombea udiwani awe na sifa kama ya mgombea ubunge maana madiwani ni chachu ya uchaguzi wanaleta amsha-amsha ni kumrahisishia mgombea ubunge,waweke hata ma phd ma prof kwenye udiwani

A point mkuu.....hope wapo wachukue huh ushauri
 
Nawaaminia UKAWA kuna viongozi wenye elimu, hekima na busara, naamini watatuletea jina la kiongozi ambaye akichaguliwa atakuwa kiongozi wa Watanania wote pamoja na CCM. UKAWA tunajenga nyumba moja, tusigombee fito
 
Hatimaye safari ya ukawa imefikia tamati hadi sasa cdm wana mgombea wao wa urais na cuf wana mgombea wao wa kudumu miaka yootee akiwakilisha kundi la imani yake nccr wao ni bendera fuata upepo hakuna muafalka utakaofikiwa na kila mmoja atachukua hamsini zake katiba zao zinawabana

Maneno yako na yashindwe,kila baya ulinenalo libatilishwe..

Pepo mbaya aliyekupa upofu akutoke kuanzia sasa uwe huru..
In Jesus name I pray..!
 
CUF wameshamtangaza Prof. Lipumba, CHADEMA wana mgombea wao wa kudumu, Mzee Slaa...

Kweli mwaka mpya na mambo mapya...

Shikamoo Mussa Allan,naona umeamua kubadiri jina kwa kutwist kidogo lile la zamani, ujitahidi ubadirike na mawazo.
 
Mungu awaongoze .nashauri mgombea uRais apigiwe kura za maoni na wanabchi/ wanaUKAWA wote Tz..ipite kura ya Maoni kupendekeza Mgombea...
 
Maneno yako na yashindwe,kila baya ulinenalo libatilishwe..

Pepo mbaya aliyekupa upofu akutoke kuanzia sasa uwe huru..
In Jesus name I pray..!

huo yesu wako peleka kwenye jukwaa la dini hapa si mahala pake.
 
Huyo slaa atakuongoza wewe na familia yako kamwe hatukubali kuongozwa na padri mzinzi.

Mbona unaburuzwa sasa hivi na raisi mzinzi Africa mashariki kila mkoa ana watoto anagombania wanawake mpaka na wasanii kamuulize babu seya atakuambia.
 
Wanababaika tu, sana watarudia reject zilizokataliwa miaka ya nyuma. Bora hata CUF walioamua kumtangaza profesa Lipumba,mgombea wao wa kudumu.

Natamani uchaguzi ufanyike kesho mgombea wa CCM atangazwe mshindi tena ushindi wa kishindo.
 
Back
Top Bottom