wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
Wanababaika tu, sana watarudia reject zilizokataliwa miaka ya nyuma. Bora hata cuf walioamua kumtangaza profesa lipumba,mgombea wao wa kudumu.
Natamani uchaguzi ufanyike kesho mgombea wa ccm atangazwe mshindi tena ushindi wa kishindo.
wanamsubiri lowasa