Urais 2015: UKAWA waanza safari

Urais 2015: UKAWA waanza safari

Jaman ukawa wananguvu sana wakishabiki hv kwa mtazamo tunaamka asubuh ukawa wanasema wamemsimika Tundu lisu unadhan ccm watakuwa wamepata mtelemko kirahisi?
 
Hivi Lizabon unajitabua? kutumika kisiasa ni jambo mbaya sana na raha ya siasa ni kuwa na uhuru wa kuchambua mambo bila kumfiria mtu yeyoote.
Tatizo kubwa tulilonalo ni vijana hasa hawa(mfn:Lizabon) wanadhan wakitumiwa km tishu leo na viongoz wa kisiasa waliopo madarakan watalipwa fadhila ktk siasa. Tambuen kuwa wakijua mnafaa kutumika km mnavyotumika sasa ndo kamwe hapewa nafasi maana hamtaamina. Ni nani aliyewahi kukumbuka toilet paper iliyotumika?
 
Ni ukweli usiofichika kuwa dr Slaa ndie atapeperusha bendera ya ukawa hapo october mwaka huu.Hii inatokana na yafuatayo;
1.Maalim Seif ametangaza kugombea urais zanzibar.
 
Ni ukweli usiofichika kuwa dr Slaa ndie atapeperusha bendera ya ukawa hapo october mwaka huu.Hii inatokana na yafuatayo;
1.Maalim Seif ametangaza kugombea urais zanzibar.
2.Ibrahim Lipumba atagombea ubunge huko Tabora.
3.Mbatia anajiandaa kumtoa Mrema Vunjo.
4.Slaa mpaka sasa hajasema chochote!
Hii inanipa uhakika kabisa kuwa kila kitu kimeshaandaliwa kinasubiri baraka za wadau tu.
 
Ni kweli ni uhuru wa Maoni au Mawazo, Lakini kwa watu makini na wafuatiliaji wa Siasa za Tanzania haukupaswa wewe kutuletea utabiri wako huu ambao hauna bases zozote.

Tulisikia juzi juzi CUF wanasema watampendekeza Prof.Lipumba ili akawakishe chama kwenye mchujo; Na Jana tu CHADEMA wamekuwa kwenye mchakato ambao tunaambiwa wamehailisha hadi March.

Vile vile vyama Vingine ktk umoja wa UKAWA wanafanya hivyo hivyo. So hauna Umakini kama ukileta thread ya aina hii maanake kila mtu makina anajua strategies za UKAWA.
 
Mkuu hapo pamekaa vema Sana tuombe iwe hivyo
 
Wadau mliojirani na prof Lipumba, mshaurini agombee ubunge jaman, aje aungane na wenyevt wenzake na macomrade wengne kulifanya bunge kuwa hot, urais aachane nao, tujikite kwanza huku majimbon kuidhoofisha escrowCCM
 
sio kila kitu kiko wazi huhitaji akili ya kufikiri.Kama Mbatia (NCCR)yuko Vunjo.Lipumba (CUF)atakuwa Tabora na Maalim Seif (CUF)yuko zanzibar unategemea nn?

juzi msemaji wa cuf katangaza kuwa washapeleka jina la lipumba UKAWA kuwania nafas yakuiwakilisha ukawa ktk uchaguz mkuu nafas ya urais,lkn vyama vingine had hiyo juzi walikua bado hawajapeleka majina yao.sasa hizo habar za kutangaza kugombra ubunge zimetoka wapi na ametangaza lin?

sourc ITV na msemaji alihojiwa pale pale na akaulizwa maswali meng tu
 
juzi msemaji wa cuf katangaza kuwa washapeleka jina la lipumba UKAWA kuwania nafas yakuiwakilisha ukawa ktk uchaguz mkuu nafas ya urais,lkn vyama vingine had hiyo juzi walikua bado hawajapeleka majina yao.sasa hizo habar za kutangaza kugombra ubunge zimetoka wapi na ametangaza lin?

sourc ITV na msemaji alihojiwa pale pale na akaulizwa maswali meng tu
Hiyo ni njia ya kuelekea huko.Kila chama kitapeleka jina,halafu atachaguliwa mmoja.What next?
 
sio kila kitu kiko wazi huhitaji akili ya kufikiri.Kama Mbatia (NCCR)yuko Vunjo.Lipumba (CUF)atakuwa Tabora na Maalim Seif (CUF)yuko zanzibar unategemea nn?
Ukweli ni kuwa,wengi tunapenda Dr.Slaa awe mgombea wa UKAWA lakini kumbuka CUF teyari wanakusudia kuwasilisha jina la Lipumba mezani hivyo tusijipe uhakika wa asilimia mia.
 
Ni ukweli usiofichika kuwa dr Slaa ndie atapeperusha bendera ya ukawa hapo october mwaka huu.Hii inatokana na yafuatayo;
1.Maalim Seif ametangaza kugombea urais zanzibar.
2.Ibrahim Lipumba atagombea ubunge huko Tabora.
3.Mbatia anajiandaa kumtoa Mrema Vunjo.
4.Slaa mpaka sasa hajasema chochote!
Hii inanipa uhakika kabisa kuwa kila kitu kimeshaandaliwa kinasubiri baraka za wadau tu.
Taarifa yako imepitwa na wakati. Lipumba ametangazwa na chama chake kugombea nafasi ya urais kupitia UKAWA
 
Ni ukweli usiofichika kuwa dr Slaa ndie atapeperusha bendera ya ukawa hapo october mwaka huu.Hii inatokana na yafuatayo;
1.Maalim Seif ametangaza kugombea urais zanzibar.
2.Ibrahim Lipumba atagombea ubunge huko Tabora.
3.Mbatia anajiandaa kumtoa Mrema Vunjo.
4.Slaa mpaka sasa hajasema chochote!
Hii inanipa uhakika kabisa kuwa kila kitu kimeshaandaliwa kinasubiri baraka za wadau tu.

Nakusihi Uwe na ufuatiliaji wa karibu na Siasa za TZ kama una upenzi nazo, usije ukawa kama Mchambuzi mmoja jana usiku kwenye Star TV, Upande wa Dar; Aliyeonekana hata hajua Uzalendo nini? na aliye na jukumu la Kuueneza ni nani? , Pia alionyesha udhaifu mkubwa kwa kutotambua kuwa maandamano ni haki ya Kikatiba kwa waandamaji.
 
Huyu mleta thread hii anatafuta uchokozi kwa CCM !! Kama kuna mtu CCM haitaki kusikia anaingia kwenye ulingo wa kugombea urais kama Dr Slaa majibu utayapata hapa hapa timu Lumumba ikiingia hapa CC- Mjepo, Faizafoxy, Simiyu yetu, Lizabon, East African Eagle, Juliana shonza and the like.
 
Back
Top Bottom