Mimi nawaomba sana wana Cuf eses wazalendo zaidi katika huu umoja wetu wa Ukawa. Kama Lipumba ndiye atakayesimama kwa ajili ya Ukawa tuwe na uhakika tunashindwa tu. Cdm ndicho chama kilicho na miz
izi kila kona ya nchi hii, uchaguzi wa serikali za mitaa umeonyesha bila shaka. Ukweli ni kuwa mgombea urais wa Cdm kupitia Ukawa ndiye yuko more likely kushinda kuliko wa Cuf hebu tuwe wakweli tu tusipotezeane muda.
Proff atafute jimbo, aachane na urais, tuwe serious, vinginevyo kama ndiye atakayependekezwa msidai kuungwa mkono kwani kushindwa ni hakika na Ccm wanajua hilo.
Mimi ningependa Cuf watoe tamko kwamba mgombea yeyote atakayepitishwa na Cdm ndiye wa Ukawa. Na haraka tuanze kumtafutia Prof jimbo na mimi napendekeza la hapa Dar kwani atashinda tu.
Msije mkatuondolea hamu ya kupiga kura, tafadhalini sana Ukawa. Tunawapenda.