- Thread starter
- #61
Molemo did you mean 001%?
Chama
Gongo la mboto DSM
Katika Thread zangu hii ni post yako ya ngapi? May you count please and then will be rewarded
Molemo did you mean 001%?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonyambunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.
Mzee Mtei amesema amemshauri mara kadhaa Zitto umuhimu wa kutulia kama wenzake ndani ya chama na kukijenga chama lakini mbunge huyo amekuwa mkaidi na hasikii.
Pia Mzee Mtei amesema endapo mbunge huyo ataendeleza harakati zake za kutaka umri wa Urais ushuke hadi miaka chini ya 40 ili tu yeye apate nafasi ya kugombea basi atakuwa ni mbinafsi wa kupindukia na mwenye uroho mkubwa wa madaraka.
Akijibu madai hayo ya Mzee Mtei, Zitto Kabwe amemuonya Muasisi huyo wa chama na amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Source: Mwananchi Jumamosi.
My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.
Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.
Katika Thread zangu hii ni post yako ya ngapi? May you count please and then will be rewarded
Mkuu Ritz;
Nakumbuka juzi Aweda alidai ndani ya Chadema hakuna makundi mambo ni mswano tu; leo molemo anatuhabarisha mwenye chama mzee Mtei hapendezwi na mh. Zitto na harakati zake za kugombea uraisi, na nimeshtushwa na hii kauli ya mh. Mbowe kutumia 72% ya pesa yaani kigezo cha yeye aachiwe kugombea uraisi; kwa mantiki hii huu mradi apate kurejesha pesa zake hivi kweli Chadema inaweza ni suluhisho la matatizo ya Tanzania? Mkuu hawa jamaa ni mafisadi kama wale wanaowapigia kelele hii ni hatari sana kwa mustakabli wa taifa letu.
Mimi nilishaona toka zamani kuwa pilikapilika hizi zote za CHADEMA wana ajenda zao za SIRI ambazo mtu mwingine yoyote yule hapaswi kuzifahamu ila wanataka kututumia Watanzania na shida zetu kama daraja ili waende IKULU wakafanye mambo yao! Mimi nasema hapana kwa CHADEMA wawe wawazi ili baadae tusije laumiana, nimeona kwenye poast nyingi humu ndani ukijadili jambo linalohusu CHADEMA likawa tofauti na matakwa yao utashambuliwa kwa matusi mpaka basi hivi ni sahihi kweli?
huyu zito ni kama dhaifu alikuwa na ndoto ya kuwa raisi kapambana kaiba kachafua wengine ili awe raisi hatimaye kawa rahic check sasa anavyotupeleka mchakamchaka na ufisad
Hivi mzee mtei bado yupo hai???!!!!!!!!!!!!
Mwasisi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA Edwin Mtei amemuonya mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuacha kutangaza mambo ya Urais sasa kwani anasababisha mpasuko ndani ya CDM na badala yake ajikite kukijenga chama mpaka muda utakapofika ili chama kitoe utaratibu.
Mzee Mtei amesema amemshauri mara kadhaa Zitto umuhimu wa kutulia kama wenzake ndani ya chama na kukijenga chama lakini mbunge huyo amekuwa mkaidi na hasikii.
Pia Mzee Mtei amesema endapo mbunge huyo ataendeleza harakati zake za kutaka umri wa Urais ushuke hadi miaka chini ya 40 ili tu yeye apate nafasi ya kugombea basi atakuwa ni mbinafsi wa kupindukia na mwenye uroho mkubwa wa madaraka.
Akijibu madai hayo ya Mzee Mtei, Zitto Kabwe amemuonya Muasisi huyo wa chama na amewataka wazee ndani ya CHADEMA kuheshimu Demokrasia na kusema anaamini ni yeye atakayeweza kuishinda CCM mwaka 2015 na anataka Mzee Mtei akiwa bado hajafa amshuhudie jinsi atakavyobadili nchi akiwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Source: Mwananchi Jumamosi.
My Take:
Nadhani umefika wakati sasa wa Kamati Kuu kutoa mwongozo kuhusu suala hili. Hili suala la kila mtu kujitangaza kugombea Urais sasa linataka kupoteza mwelekeo wa harakati za CHADEMA kujijenga.
Imefika wakati wa M/kiti na Katibu mkuu wa chama kuongoza Kamati kuu kutoa hitimisho la jambo hili. Simaanishi kufukuza watu Hapana! Lakini itangaze muda muafaka wa wanachama kutangaza nia, kwani binafsi naamini DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO.
Kwa hiyo ndani ya Chadema ni marufuku kutangaza kugombea urais.
mkuu ee umenimaliza ponti zangu yaani hapo kwenye vitoroli na safari za europe ndio panamchanganya dogo!Zitto akiona picha za mr dhaifu akiwa Canada akivutwa na vitoroli kupitia farasi naona ndio anachanganyikiwa kabisa kwa tamaa anataka hata kubadilisha birth certificate yake ili isome miaka 42 afikapo 2015