Uraia wa waTutsi !

Sir, if you find that you run short of words (like you say) critisise or improve on someone's arguments you simply keep your big mouth shut, otherwise this is a mere attempt to assassinate intellectual thinking in JF. Just an advice

If that is what you call intellectual thinking, then i have big doubts about YOUR "intellectual thinking". Just thinking out loud.
 
Mmesahau Prof Silas Rwakabamba alikuwa mkuu wa kitivo cha uhandisi UDSM Kagame akamyakua kwasababu ya utusi wake leo ni waziri wa miundombinu Rwanda.


Hujatenda haki, Prof Rwakabamba kaajiriwa Kwa uwezo wake siyo Kabila lake.
Watanzania wengi Pia wameajiriwa Rwanda na nchi nyingine dunia mbona unakuwa mkabila AMA unanongwa na Kabila watusi?

Tusitukuze ukabila tukasahau uwezo na umuhimu alionao mtu.
 
If that is what you call intellectual thinking, then i have big doubts about YOUR "intellectual thinking". Just thinking out loud.

The best way to portray your intellectual robustness is to come up with facts that nullify another argument, not insulting him.
 

1. Sihitaji propaganda za ndi Umunyarwanda. Mimi nafahamu tofauti ya mhutu na interahamwe toka kitambo. Nyinyi ndio mnaoamua kutumia maneno haya interchangeably when ever it suits you. Kinachowafanya media zenu (new times rwanda) kumpachika uhutu first lady wetu ni nini, kama sio chuki zenu dhidi ya wahutu? kwani if angekuwa mhutu so what?
Interahamwe imeua watutsi sawa sikatai. Lakini mbona waanzilishi wake walikuwa watutsi, na rais wake alikuwa mtutsi aliyejifanya mhutu na alishiriki kikamilifu kwenye mauaji? Ndiyo amehukumiwa, lakini the question is kwanini ALIONGOZA mauaji dhidi ya watutsi wenzie? what did he have to gain? How many other interahamwe members were actually tutsis pretending to be hutu if rais mwenyewe anayeamua tukachinje nyumba ipi alikuwa mtutsi? Je is it not possible kwamba kwamba ukiacha extremist hutus, interahamwe pia ilijaa watutsi wahalifu waliotumia opportunity ya vita kufanya uhalifu dhidi ya watutsi wenzao (looting, raping etc)? Tatizo badala ya kujibu maswali haya we unaleta matusi. Are these not valid questions worthy to be answered by a great thinker as you pretend to be?

2. "kwetu hakuna uhutu au ututsi": hii imeshaonekana wazi kuwa ni sera yenu wachache ya kuziba watu midomo kuwa minorities mmehodhi madaraka. Nilishatoa mfano kuwa hapa Tanzania haiwezekani litokee kundi la waasi la kihindi lipindue nchi halafu lilete rais mhindi, waziri mkuu mhindi, wakuu wa majeshi wahindi, jeshi lote wahindi, polisi wote, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa idara zote muhimu, mabalozi n.k woooote muhimu wawe wahindi (tena wahindi toka Uganda, sio Tanzania). Unadhani serikali hii ya kihindi ikiweka sheria kali ya kukataza watu kujadili uafrika na uhindi itakuwa ni kwa sababu ya kudumisha umoja wa watanzania au kuendeleza udikteta wao?

Hii sera yenu ingefaa sana kama mngeimplement Arusha accord, lakini mkamtungua ndege ya rais, mkapindua serikali, mkahodhi madaraka, halafu sasa mnadai eti "we are all rwandans" what hypocrisy! The only reason kwa nini hakuna fujo leo ni kwa sababu mna jeshi tu baasi, lakini moyoni watutsi wana woga kwa sababu they know it's just a matter of time kabla wahutu hawajadai haki zao, and it won't be pretty. Let's be honest, tuache propaganda na rhetorics, kilichosababisha mapinduzi ya wahutu miaka ya late 50' ni nini?

Zimbabwe kuna waafrika (majority) na wazungu(minorities, former colonial masters). would it make sense kwa serikali ya ian smith ya wakati ule kudai kuwa eti "there is only one zimbabwe, no african no white"? Hata mwehu angeona kwa nini wanasema hivyo. where is the onness when only one tribe holds all the reigns of power?

Tazama Burundi with its history almost identical to yours (belgians, tutsis and hutus). Mbona watutsi na wahutu huko sasa wanaelewana? waliresolve vipi issues zao? ni kupitia peace talks sio ubabe na ideologies za kifalme za kip.umbavu p.umb.avu.
Wahutu walikuwa tayari kushare madaraka kupitia arusha accord nyinyi mkatungua ndege ya rais wao, mkavamia nchi, mkapindua... leo hii mnashauriwa kufanya mazungumzo na wale wale waliokuwa tayari kuzungumza na nyinyi when they didn't even have to (they were the gov, while you RPA/RPF were external aggressors/terrorists) mnatishia ku-hit watu wanaoshauri (kikwete)!

Even worse, mnatengeneza situation kwa jirani zenu. Watutsi DRC hawafikii hata 1% ya population nzima (congo ina makabila zaidi ya 250 tutsi ni moja wapo tu), lakini mnafadhili vikundi vya waasi, mnapenyeza watu wenu humo kama kabarebe, ntanganda (ex-RPA soldiers) n.k. M23 walishateka Goma na wakatishia kwenda kinshasa kuchukua nchi nzima. Obviously, ingetokea Makenga kapindua DRC, angesema vile vile "there is no tutsi, bemba, baluba...only congolese" angepiga marufuku watu kujadili kuwa you people are less than 1% but control 99%. Leo hii Ntaganda huko ICC anajitetea kwa kinyarwanda, hajui lugha yoyote ya taifa kati ya NNE za DRC! You try to comprehend that!
 
... well said ndugu!...congratulations....unazidi kuwavua nguo...
 
uko vizuri sasa nimejua kamchezo kanakoendelea Rwanda.
 
sio kila thread lazima ujibu.

Sote ni Waafrika kwanini tunachochea chuki, mambo ya Watusi na wahutu, Watanzania ni makini ubaguzi wanini? Tujadili mambo makini, Kama Rwanda kunawatu makini tujifunze kutoka kwao, tuache chuki siku zote chuki inaanzishwa na watu wachache, amani ndiyo msingi wa maendeleo.Watusi na wahutu ni Waafrika wenzetu hayupo asiye nathamani ya ubinadamu zaidi ya mwingine
 

Kweli jf ni ma great thinker, yaani hoja baada ya hoja
 
Bwana Jmali,Hapa tunaongelea maisha yawatu waliokufa, ndio maana sometimes reactions zinakuwa kali:Ningependa kuongerea point by point kama ulivyo bainisha:Kwanza inawezekana wewe sio mu NyaRwanda, ila nimekuwa forced kukuita hivyoa manake, your interest na thread ambazo unapost kila mara unaonyesha kwamba you have something ithching you zaidi ya kukataa uonevu nashangaa hata program ya nd`UmunyaRwanda unaifahamu! cha muhimu sio kwamba wewe ni MunyaRwanda au cha muhimu ni threads na ideology ambayo unajaribu kuipenyeza forcefully kila mara unapo post thread hapa jukwaani😛ili:Sijui nimakusudi au kutoelewa, ukijaribu kutofautisha wa Tutsi waliokuwa wamekimbia nchi na wale waliokuwa wamebaki nchini Rwanda:Kweli Rwanda ilikuwa chini ya mfalme, kama zilivyokuwa pande nyingi tu za Afrika kipindi hicho,kwa hiyo hiyo haiwezi kuwa sababu:fact ya kwamba wa mTutsi ndio alikuwa mfalme ni kwasababu ufalme ulikuwa katika njia ya hertance, manake Baba akiwa mfalme, then the first born anakuwa mfalme pindi tu baba yake akifaliki, this was common to all Kingdoms around this region:Wazungu walipofika walikuta nchi iko chini ya mfalme, kwa taarifa yako hii issue ya Tutsi and Hutu wao ndio waliifanya kuwa makabila, kabla ilikuwa class division, wafugaji walikuwa wakiitwa WaTutsi,Wakulima wakiitwa Wahutu, na haikuwa kabila ndio wengi walikuwa wakiachana na kazi za ukulima na kuanza ufugaji, pindi tu ukifikisha ng`ombe zaidi ya 10 hapohapo tayari ulikuwa unaingia into Tutsi class:Kwa maoni yako ni kwamba wa Tutsi si wanya Rwanda, na ndio maana ukitoa mifano yako unawalinganisha na wazungu!?kwamba rwanda ilitawariwa na wazungu +waTutsi hii nikupotosha:Ingekuwa hivyo then kayibanda mhutu asingeweza kuwa Raisi kama Wa Tutsi wangekuwa na support ya mzungu:Siongerei mauaji ya siku mia moja tu, mauaji yalianza tangu mwaka 1961, pale wa tutsi walipokimbizwa kutoka nchi yao Kumbuka Kagame pia alizaliwa nchini Rwanda kipindi hicho akiwa mtoto mdogo, ndio maana nimesema si sahihi kutofautisha wa Tutsi waliotokea Uganda Tanzania, etc na wale walio baki Rwanda kipindi hicho:Kilichotokea ni kwamba wahutu wakisaidiwa na Belgium waliwakimbiza wa Tutsi:Sababu ya mzungu kumusaidia muHutu kipindi hicho sinyingine ila ni kwasababu wa Tutsi ambao walikuwa viongozi walikuwa wameandikia UN wakiomba independence, kitu ambacho hakikufurahisha mkoloni;Another big issue ambayo nitapenda unijibu, manake baada ya jibu lako nitapost speeches na video evidences:Unakubali kwamba Genocide ilikuwa planned kabla hata ya kutunguliwa kwandege?Unakubali kwamba kuna mauaji mengine dhidi ya wa Tutsi yalifanywa kabla hata ya kutunguliwa kwa ndege?Are you sure kwamba ndege ya habyarimana ilitunguriwa na RPF?harafu nadhani utatoa evidences, manake na mimi nina evidences zinazoonyesha kwamba ndege hiyo haikutunguriwa na majeshi ya RPF:Hivi mapigano kuanza mwaka 1990 kati ya majeshi ya habyarimana na yale ya RPF unaweza kusema kwanini, RPF iliamua tu kushambulia bila sababu yoyote?Hivi Arusha agreement kati ya RPF na serikali ya Habyarimana ilikuwa ikiongerea nini hasa?kama kweli RPF ilikuwa haina uhusiano wowote na Rwanda?Samahani kwa kutumia mtindo wa kuuliza ila nadhani itasaidia kuonyesha ukweli halisi:Genocide against Tutsi haina utata wowote, it is well known by the International communities including UN:Neno Genocide against Rwanda lilitumiwa kwa mala ya kwanza na Mwalimu Nyerere akiwa nchini South Africa kwenye mkutano na ma Raisi wengine wa Afrika, na sio kweli kwamba ilikuwa ni campaign ya Kagame:Watu waliokufa rwanda wanajulikana kwa majina, hivyo kusema kuna utata, kwa mafuvu sio kweli, na hii nimojawapo ya ideologies zinazokuwa spread by Genocide denials:Calling a spade a spade ni kwamba wa Hutu waliua wa Tutsi, pale wa Tutsi walipokuwa wakijaribu kujihami majeshi ya srikali yalikuwa yanaingiria:labda mwisho ni kuulize kama ikitokea ukawa raisi wa Rwanda leo utafanya nini?Kwa kufualia post zako ni kwamba utawafukuza wa Tutsi wote, sasa sijui utawapelka wapi:What i know ni kwamba, Wa Tutsi w Rwanda ni wa NyaRwanda 100% kama vile walivyo wa hutu, na lazima waishi kwa amani na majirani zao na serikali inasaidia katika hilo, ila kwasasa what i see ni kwamba wananchi wa Rwanda tayari wamesha sahau tofauti zao:raia wa KinyaRwanda wanachagua viongozi wao kulingana na uwezo na wala sio urefu wa pua, meaning hawaangalii kama huyu ni mTutsi au Mhutu,na Kiongozi anayechaguliwa, anaapa kuongoza nch kwa masilahi ya nchi na sio kwa masilahi ya kabila fulani:
 
Last edited by a moderator:
Bwana Jmali,Hapa tunaongelea maisha yawatu waliokufa, ndio maana sometimes reactions zinakuwa kali:Ningependa kuongerea point by point kama ulivyo bainisha:Kwanza inawezekana wewe sio mu NyaRwanda, ila nimekuwa forced kukuita hivyoa manake, your interest na thread ambazo unapost kila mara unaonyesha kwamba you have something ithching you zaidi ya kukataa uonevu nashangaa hata program ya nd`UmunyaRwanda unaifahamu! cha muhimu sio kwamba wewe ni MunyaRwanda au cha muhimu ni threads na ideology ambayo unajaribu kuipenyeza forcefully kila mara unapo post thread hapa jukwaani😛ili:Sijui nimakusudi au kutoelewa, ukijaribu kutofautisha wa Tutsi waliokuwa wamekimbia nchi na wale waliokuwa wamebaki nchini Rwanda:Kweli Rwanda ilikuwa chini ya mfalme, kama zilivyokuwa pande nyingi tu za Afrika kipindi hicho,kwa hiyo hiyo haiwezi kuwa sababu:fact ya kwamba wa mTutsi ndio alikuwa mfalme ni kwasababu ufalme ulikuwa katika njia ya hertance, manake Baba akiwa mfalme, then the first born anakuwa mfalme pindi tu baba yake akifaliki, this was common to all Kingdoms around this region:Wazungu walipofika walikuta nchi iko chini ya mfalme, kwa taarifa yako hii issue ya Tutsi and Hutu wao ndio waliifanya kuwa makabila, kabla ilikuwa class division, wafugaji walikuwa wakiitwa WaTutsi,Wakulima wakiitwa Wahutu, na haikuwa kabila ndio wengi walikuwa wakiachana na kazi za ukulima na kuanza ufugaji, pindi tu ukifikisha ng`ombe zaidi ya 10 hapohapo tayari ulikuwa unaingia into Tutsi class:Kwa maoni yako ni kwamba wa Tutsi si wanya Rwanda, na ndio maana ukitoa mifano yako unawalinganisha na wazungu!?kwamba rwanda ilitawariwa na wazungu +waTutsi hii nikupotosha:Ingekuwa hivyo then kayibanda mhutu asingeweza kuwa Raisi kama Wa Tutsi wangekuwa na support ya mzungu:Siongerei mauaji ya siku mia moja tu, mauaji yalianza tangu mwaka 1961, pale wa tutsi walipokimbizwa kutoka nchi yao Kumbuka Kagame pia alizaliwa nchini Rwanda kipindi hicho akiwa mtoto mdogo, ndio maana nimesema si sahihi kutofautisha wa Tutsi waliotokea Uganda Tanzania, etc na wale walio baki Rwanda kipindi hicho:Kilichotokea ni kwamba wahutu wakisaidiwa na Belgium waliwakimbiza wa Tutsi:Sababu ya mzungu kumusaidia muHutu kipindi hicho sinyingine ila ni kwasababu wa Tutsi ambao walikuwa viongozi walikuwa wameandikia UN wakiomba independence, kitu ambacho hakikufurahisha mkoloni;Another big issue ambayo nitapenda unijibu, manake baada ya jibu lako nitapost speeches na video evidences:Unakubali kwamba Genocide ilikuwa planned kabla hata ya kutunguliwa kwandege?Unakubali kwamba kuna mauaji mengine dhidi ya wa Tutsi yalifanywa kabla hata ya kutunguliwa kwa ndege?Are you sure kwamba ndege ya habyarimana ilitunguriwa na RPF?harafu nadhani utatoa evidences, manake na mimi nina evidences zinazoonyesha kwamba ndege hiyo haikutunguriwa na majeshi ya RPF:Hivi mapigano kuanza mwaka 1990 kati ya majeshi ya habyarimana na yale ya RPF unaweza kusema kwanini, RPF iliamua tu kushambulia bila sababu yoyote?Hivi Arusha agreement kati ya RPF na serikali ya Habyarimana ilikuwa ikiongerea nini hasa?kama kweli RPF ilikuwa haina uhusiano wowote na Rwanda?Samahani kwa kutumia mtindo wa kuuliza ila nadhani itasaidia kuonyesha ukweli halisi:Genocide against Tutsi haina utata wowote, it is well known by the International communities including UN:Neno Genocide against Rwanda lilitumiwa kwa mala ya kwanza na Mwalimu Nyerere akiwa nchini South Africa kwenye mkutano na ma Raisi wengine wa Afrika, na sio kweli kwamba ilikuwa ni campaign ya Kagame:Watu waliokufa rwanda wanajulikana kwa majina, hivyo kusema kuna utata, kwa mafuvu sio kweli, na hii nimojawapo ya ideologies zinazokuwa spread by Genocide denials:Calling a spade a spade ni kwamba wa Hutu waliua wa Tutsi, pale wa Tutsi walipokuwa wakijaribu kujihami majeshi ya srikali yalikuwa yanaingiria:labda mwisho ni kuulize kama ikitokea ukawa raisi wa Rwanda leo utafanya nini?Kwa kufualia post zako ni kwamba utawafukuza wa Tutsi wote, sasa sijui utawapelka wapi:What i know ni kwamba, Wa Tutsi w Rwanda ni wa NyaRwanda 100% kama vile walivyo wa hutu, na lazima waishi kwa amani na majirani zao na serikali inasaidia katika hilo, ila kwasasa what i see ni kwamba wananchi wa Rwanda tayari wamesha sahau tofauti zao:raia wa KinyaRwanda wanachagua viongozi wao kulingana na uwezo na wala sio urefu wa pua, meaning hawaangalii kama huyu ni mTutsi au Mhutu,na Kiongozi anayechaguliwa, anaapa kuongoza nch kwa masilahi ya nchi na sio kwa masilahi ya kabila fulani:
 
Interahamwe,tutsi haters and ignorants fools in full force today,dawa yao moja tuu ni kuwatandika tuu na jela maana how can you negotiate with ideologue killers?its almost imposible...
 
Since i joined JF sijawahi kuona jitu hater na roho mbaya kaa hili,na nilishakuambia hizi garbage zako to re write Histry peleka kwa inorant fools na wajomba zako ambao ni criminal WANTED for genocide ndio watakuamini
 



Nikitumia uzoefu wa kawaida kabisa wa kuangalia kiswahili chako naona kuwa wewe uraia wako una mashaka na hata hivyo kimbunga kinakuhusu na hizo hasira za ki kagame za kutaka kuzaba watu vibao eti kwa sababu ametoa mawazo yake inaonyesha kabisa wewe uraia wako una mashaka. Tabia za watanzania tunavumiliana.
 
His name was Ambassador Bandora. Before that he was president of the student union at UDSM (DUSO). Very strategic these people!
 
[..

Ila kinachoendelea sasa ndani ya Rwanda kwa upande fulani kinasikitisha, hii ya mtusi kuanza kumwinda mtusi ni ovyo sana. We are slowly starting to see interhamwes within watutsi, that is deeply disturbing.[/QUOTE]Bongolander, una maana Mtusi anapomuwinda Muhutu that is less disturbing? Thank you for the confession.
 
Mkuu,Kiswahili sio lugha ya baba nimekikuta shuleni, lakini kipindi hicho tulikuwa wengi tuu, sijui unatokea upande gani wa Tanzania lakini najua wengi wanajua hilo:Kama unaweza kujua the meaning of my messages that`all manake sio wa Tanzania wote wanajua Kiswahili, kumbuka kuna wa toto wengi tu wa kitanzania wana zaliwa nchi zanje:Angalia the contents na sio mchangiaji ni nani:
 
Ya ngoswe muachieni mwenyewe ngoswe,jf ilikuwa na lengo zuri tu la kuwakusanya ma great thinkers pamoja,lakini bahati mbaya imekuwa nje ya lengo,kizazi cha div 5 cha kina mulugo kimeingilia,rwanda wana sera yao ya uraia ambayo ni tofauti na ya tanzania na sehemu nyingine yeyote duniani,hiyo ni sifa mojawapo ya sovereign state,mbona hauulizi wamakonde wa msumbiji wanapiga kura huku tena usiulize chama ni ccm tu,halafu msumbiji kama kawa viva frelimo.tujifunze kuwa na uzani wa mawazo.
 
Since i joined JF sijawahi kuona jitu hater na roho mbaya kaa hili,na nilishakuambia hizi garbage zako to re write Histry peleka kwa inorant fools na wajomba zako ambao ni criminal WANTED for genocide ndio watakuamini

Wewe umekosea kujoin JF (great thinkers remember?), ulitakiwa kujoin New times rwanda, uimbe propaganda za barabara safi za kigali. Kwanza kwa nini katika nchi inayojisifu kwa IT hakuna hata internet forum moja ya uhakika mpaka mnakuja kuleta chuki zenu huku Tanzania? Nipe just one link nione huko kwenu mnajadili kitu gani. Nothing. why? because akili zenu ziko under trusteeship ya RPF. Kagame and Mushikiwabo think on your behalf! seriously, point us to a great forum like this in Rwanda ili na sisi tu-join kama wewe ulivyojoin hapa kwetu.
Unanituhumu ku-rewrite history wakati wewe hutoi hiyo history original maana yake nini? wewe ndio uko full of garbage! Mimi naongea facts wewe unayeyusha tu.
 
Ukweli ndio huu sasa sijui mtamuamini Jmali au?Rwandan Genocide - Wikipedia, the free encyclopedia

A great thinker knows kwamba wikipedia ni encyclopedia huru ambayo kila mtu anaweza ku-edit! Na vile vile anajua kuwa Rwanda ina resources nyingi including international PR firms zenye kazi hizi za ku-edit vyanzo hivi, so unless unapoint kwenye source ambayo credibility yake haina utata ....anyway nina-qoute baadhi ya vitu interesting kutoka the same source ambayo wewe ume-provide:

"In 1990, the Rwandan Patriotic Front (RPF), a rebel group composed mostly of Tutsi refugees, invaded northern Rwanda from Uganda in an attempt to defeat the Hutu-led government. They began the Rwandan Civil War, fought between the Hutu regime, with support from Francophone Africa and France,[SUP][4][/SUP][SUP][5][/SUP] and the RPF, with support from Uganda. This exacerbated ethnic tensions in the country. In response, many Hutu gravitated toward the Hutu Power ideology, with the prompting of state-controlled and independent Rwandan media."

Fatilia mahali ambapo nimebold:

1. Jeshi la kitutsi limevamia rwanda ili tu kupindua " a hutu-led goverment" (kwa maana nyingine serikali ya watu, maana wahutu ndio >80%, kwa hiyo hakukuwa na cha ajabu kama serikali ilikuwa "hutu-led"). Hapa genocidaire ni nani kagame or the peaceful people of Rwanda? Kwa nini wahutu waliouawa hapa wasiwe wahanga wa genocide? maana your own source says the only motive ilikuwa kupindua wahutu! Lakini watutsi waliouawa 94 wao ni genocide, how come?

"They began the Rwandan Civil War" : umeona hapo? RPF started the Rwandan civil war not Habyarimana, RPF! Hii ni fact ambayo hamtaki kuikumbuka kuwa there was a war! Je hatutakiwi kumshtaki Kagame na jeshi lake kwa kuanzisha vita kinyume na sheria za kimataifa?

"in response many Hutu gravitated toward the Hutu Power ideology,", Unaona sasa? exactly what i said kuwa wahutu hawakuwa na tatizo na watutsi, lakini walikuwa forced kuwa na tatizo kutokana na aggressions za kagame. The same thing in Congo DRC kupitia M23, tungeacha waendelee lazima kungekuwa na 'genocide' nyingine, halafu ungekuja hapa JF kusema joseph kabila mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…