Upungufu wa kinga za kiroho

Upungufu wa kinga za kiroho

Mshana asante sana huwa nakuelewa sana.. Asante unafungua wengi kwa kweli Mungu azidi kukupa baraka
 
Nadhan njia moja wapo ya kulinda kinga ya kiroho ni kutokuwa na chuki,wivu,uoga,hasira,majivuno,tamaa,ghadhabu,manunguniko...mtu mwenye upendo bila kuwa na mawazo machafu uwaga anakuwa na kinga imara sana dhidi ya nguvu mbaya za kiroho
Sahihi kabisa ukishaingiza nguvu hasi yoyote kwenye maisha yako, hapo ndio mwanzo wa vita ya kiroho kwakuwa utataka kufanya mambo mabaya
 
kaka mshana jr hata shetani ana jeshi lake katika ulimwengu wa roho na anawatumia binadamu kama sisi, swali langu je hata wao pia wanakumbwa na upungufu wa nguvu za roho mchafu kama ilivyo kwetu sio ambao tumeamua kumtumikia MUNGU wa kweli? maana wapo ambao kwao lucifer ndio mungu wao
 
Mkuu always mada zako ninazipenda mno .maana zina ukweli sio za kinafiki au kuwa na siasa za kuongopeana,thanks
 
Kwa mara ya kwanza umeandika vema . Kumbe upo kama mtu vile. Ok umekosa kuweka maneno machache tu muhimu sana.

Jina la Yesu.
Damu ya Yesu

Mchana huvijui hivi nikuelekeze? Vipi wewe!
 
Mshana jr hongera sana.tena karibu Mwanza 1day upige kichwa cha sato mzee.juzi kupitia simu namba yako ulinipa ushauli mzuri sana na kweli niitupilia mbali hizo mambo baada ya kuhangaika kwa muda mrefu sana,toka niweka pembeni hayo mambo now ni kama wiki tatu tu nafikili na nikakimbia kwa MUNGU muumba kwa imani yangu ya ki kristo kwa kweli nimestaajabu sana.jinsi ya nilivyofunguliwa ni kama miaka 7 na kumbe ni 3weeks tu.siwezi sema hapa lakini nimepata ushahidi mimi mwenyewe kwamba mambo ya kishirikina ni kupoteza muda na pesa sana sana,yeyote anaesoma nilichoandika hapa na kama bado anaenda kununulishwa kuku wekundu mala weusi nakwambia unapoteza pesa bule,rudi kwa MUNGU ili siku moja usije ukajuta.Mshana nakushukulu sana ndugu.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
kaka mshana jr hata shetani ana jeshi lake katika ulimwengu wa roho na anawatumia binadamu kama sisi, swali langu je hata wao pia wanakumbwa na upungufu wa nguvu za roho mchafu kama ilivyo kwetu sio ambao tumeamua kumtumikia MUNGU wa kweli? maana wapo ambao kwao lucifer ndio mungu wao
Kichafu hakiwezi kuchafuka tena hao ndio mawakala wa giza wanaopigana dhidi ya nuru.... Usiwape nafasi
 
Kwa mara ya kwanza umeandika vema . Kumbe upo kama mtu vile. Ok umekosa kuweka maneno machache tu muhimu sana.

Jina la Yesu.
Damu ya Yesu

Mchana huvijui hivi nikuelekeze? Vipi wewe!
Sema nimeandika kilichokugusa! Kuna mwingine kaona nimeandika pumba!!! Iko hivyo siku zote... Huwezi kuzuia mitazamo na tafsiri za wengine dhidi ya kile ulichoandika...
Zaidi sikuweka hayo maneno kwakuwa sikutaka mada hii ielemee kwenye mambo ya kidini tena imani ya upande mmoja .. Ningefanya hivyo mada hii ingepelekwa jukwaa la dini ambalo ni wachache tu wanaruhusiwa kuingia huko
 
Mshana jr hongera sana.tena karibu Mwanza 1day upige kichwa cha sato mzee.juzi kupitia simu namba yako ulinipa ushauli mzuri sana na kweli niitupilia mbali hizo mambo baada ya kuhangaika kwa muda mrefu sana,toka niweka pembeni hayo mambo now ni kama wiki tatu tu nafikili na nikakimbia kwa MUNGU muumba kwa imani yangu ya ki kristo kwa kweli nimestaajabu sana.jinsi ya nilivyofunguliwa ni kama miaka 7 na kumbe ni 3weeks tu.siwezi sema hapa lakini nimepata ushahidi mimi mwenyewe kwamba mambo ya kishirikina ni kupoteza muda na pesa sana sana,yeyote anaesoma nilichoandika hapa na kama bado anaenda kununulishwa kuku wekundu mala weusi nakwambia unapoteza pesa bule,rudi kwa MUNGU ili siku moja usije ukajuta.Mshana nakushukulu sana ndugu.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA

Aisee takuja kichwa cha Sato ndo ugonjwa wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom