Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,296
Amen, barikiwa pia kaka
Amen, barikiwa pia kaka
Sio kwenye mambo ya kiroho japo kama ni tatizo la kufungwa kiroho kuna watu sahihi wa kuweza kujkusaidiaVipi ule msemo "mfungwa hajifungui"?
Watu sahihi ni watu gani hao mkuu?Sio kwenye mambo ya kiroho japo kama ni tatizo la kufungwa kiroho kuna watu sahihi wa kuweza kujkusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Waombeaji tena? Hawa hawa kina Mwamposa, Gwajima na Masanja?😅😅
Hapana sio hawa wa kujitangaza mitandaoniWaombeajo tena? Hawa hawa kina Mwamposa, Gwajima na Masanja?![]()
Wengi wanapigwa hapo. Hawajui mwenye kipawa halisi!
Tatizo ni madalali wa imani ndio wanawapotoshaWengi wanapigwa hapo. Hawajui mwenye kipawa halisi!
Ubarikiwe sana mkuuMimi sio mganga na sijawahi kufanya mganga nafanya kazi halali kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.. Mimi ni mkristo Mlutheri mwongofu ninayempenda Kristo Yesu... Naenda Kanisani na nisipoenda huwa sijisikiii vizuri... Asante
Nashukuru mkuuKaribu Lukas