Upungufu wa kinga za kiroho

Upungufu wa kinga za kiroho

Huku unawekewa mkono wenye unabii bandia, mkono wenye nguvu za kichawi, mkono wa kuzimu unachukua kinga yako halisi na kukuachia bandia
Unaenda kule unapewa kitambaa chenye upako feki unakitumia huku tayari una nguvu ile nyingine
Mara unaenda kupewa kichupa cha maji ya baraka, mara maombezi ya usiku kucha, unaichosha roho yako kwa kukaribisha wageni wane tofauti ambao kila mmoja anataka kukumiliki kiroho
You are right. Pia kuishi maisha ya dhambi huharibu sana kinga ya kiroho (nguvu ya Mungu) ktk maisha ya mtu.
 
Hakika wenye kinga thabiti ndio wanaopeta katika huu ulimwengu. Sema uchoyo umezidi kwani mpaka mtu akuambie siri ya kinga sio rahisi. Huenda kinga nyingi zina ushetani wa kutisha ndio maana inakua siri. Mf. Mtoto anaelia sana usiku mtu anakupa dawa ya kuweka karibu na kichwani na anakoma kulia, lakini hakuambii ni dawa gani. Nimeshuhudia sio kuambiwa, wachawi hawamsumbui tena.
 
Nimeusoma huu uzi na comments zake zote na nimeuwekea ....... kuna mambo ya msingi sana yameongelewa humu, thanks mhenga mwenzangu' Mshana jr kwa darsa adimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom