LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Bila kutaja upungufu zaidi wa umeme unatokana na chanzo kipi Tanesco wameomba radhi kwa kukatika kwa umeme maeneo ambayo hayapo kwenye mgao siku ya leo na kubainisha tu kuwa umeme utarejea pale hali ya upungufu itakaporekebishika.
Hali ya upatikanaji wa umeme imezidi kuwa mbaya kuliko wakati wowote na sasa watu wanahoji tamko la mkuu wa Tanesco kuwa maji ya mvua hayaingii kwenye mabwawa. IPO HAJA SASA KWA SERIKALI KUPITIA TANESCO KUSEMA KWÈLI KUHUSU UPUNGUFU HUU MKUBWA WA UMEME.
Hali ya upatikanaji wa umeme imezidi kuwa mbaya kuliko wakati wowote na sasa watu wanahoji tamko la mkuu wa Tanesco kuwa maji ya mvua hayaingii kwenye mabwawa. IPO HAJA SASA KWA SERIKALI KUPITIA TANESCO KUSEMA KWÈLI KUHUSU UPUNGUFU HUU MKUBWA WA UMEME.