jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Ndugu Mkandara,rais wetu ni muislam,na yanayotokea ya udini,yanatokea under his watch.Unataka kuniambia yeye ni neutral ama ni upande gani kama watu wake wanatumia muda kueneza chuki za kidini?
Ok,let's say ni kweli hujui kwamba huyu jamaa ni mdini,ok pia kwamba katoa huo unaouita "uhuru wa habari"kuna radio na magazeti yenye kuspread chuki za kidini,kayafumbia macho,lakini kaliona mwanahalisi haraka sana.You can tell who he is by looking at his priorities.
Kwa kumalizia,naona hujanijibu bado kuhusiana na hayo ya vatican.Siwezi kurespond kwa huyo member aliyepita anayejiita sideeq anayekuja na maneno mepesi kuwa mfumo kristo ulikuwa kuripori kwa mwalimu vatican.Sasa sijui JK naye anaripoti wapi?
Ok,let's say ni kweli hujui kwamba huyu jamaa ni mdini,ok pia kwamba katoa huo unaouita "uhuru wa habari"kuna radio na magazeti yenye kuspread chuki za kidini,kayafumbia macho,lakini kaliona mwanahalisi haraka sana.You can tell who he is by looking at his priorities.
Kwa kumalizia,naona hujanijibu bado kuhusiana na hayo ya vatican.Siwezi kurespond kwa huyo member aliyepita anayejiita sideeq anayekuja na maneno mepesi kuwa mfumo kristo ulikuwa kuripori kwa mwalimu vatican.Sasa sijui JK naye anaripoti wapi?
Last edited by a moderator: