johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Ni ukweli ulio wazi kuwa Upinzani tulionao uliasisiwa kwa baraka za baba wa taifa mwalimu Nyerere baada ya 80% ya watanzania kutaka mfumo wa chama kimoja uendelee.
Ndio nawauliza wanabodi, je huu ndio wakati muafaka wa kuheshimu maoni ya wale 80%?
Au ifanyike kura ya maoni kuukubali au kuukataa mfumo wa vyama vingi nchini?
Mlale unono.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio nawauliza wanabodi, je huu ndio wakati muafaka wa kuheshimu maoni ya wale 80%?
Au ifanyike kura ya maoni kuukubali au kuukataa mfumo wa vyama vingi nchini?
Mlale unono.
Maendeleo hayana vyama!