Upinzani sasa Tufanye nini?

Nimeyapenda mawazo haya:

Vyombo vya dola, polisi, usalama wa taifa, mahakama havitekelezi majukumu yake kama vyombo vya taifa badala yake vinafanya kazi kama matawi ya CCM. Lengo ni kuibeba/kuibakisha CCM madarakani.

Viongozi wa Upinzania ni lazima sasa kupambana na haya:

1. kupigania kuwepo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

2.Kuhakikisha na kupiga kelele za kutosha kwa vyombo vya dola ili vianze kufanya kazi
kama vyombo vya nchi na sio kama vyombo vya chama.CCM

3.Kususia Changuzi zote kama mapendekezo hapo juu hayatafanyiwa kazi.

Je kupiga kelele kuna matokeo chanya kwa aina ya watawala tulionao?
Asilimia kubwa ya vyombo ulivyovyitaja ni taasisi zilizoundwa kikatiba, kama kuna mushkel mahali ni bora ifike wakati tuanze kutumia mahakama ya kikatiba.

Ubaya ni kwamba, wengi wetu tumeaminishwa kuwa mambo yote haya yatarekebishwa ndani ya katiba mpya! Kweli? Yaan hawa watawala wajichimbie kaburi lao wenyewe?
 
napata shida sana na watu kama wewe,

Hivi unajua mtu kujiidentify to kama mwanachadema inamgharimu sana?unaweza ukawajua wagombea waambie sasa wajiweke hadharani?

naomba tunapoongelea kitu tupime pande zote,wagombea wapo ndoyo mnawajua,waambieni wajitokeze waanze kupimwa na wananchi?
Kumbuka wagombea wengi kama si mfanya bihashara ni mfanyakazi,sasa ajitambulishe leo maCCM watamuokoa,tusiwafananishe na wagombea wa CCM,waowanalinda sana.

Naomba tu endelea kuwatia moyo na kuwajengea ujasiri hiyo ndiyo kazi kubwa inayotakiwa.

unapokuja kwenye swala la hela,mungu wangu ivi umeshataka kujua gharama ya operation kwenye mkoa mmoja tu inagharimu shillingi ngapi?ukijua hili utajiuliza je Chadema wanarasilimali gani zinazowaingizia kipato?
halafu ndipo utafute kujua kila kata walipewa nini.
Kwenye RED ya kwanza utapata shida sana kunielewa kwa sababu mimi siku zote nasimama kwenye kweli tu.

Kwenye RED ya pili hizi ndizo porojo nisizotaka kuzisikia, na sijui hapa unanijibu hivi kwamba wewe ndio Mkurugenzi wa Fedha wa Chadema au lah!

Uchaguzi mkuu uliopita nimetumia pesa zangu binafsi nyingi sana, na tulimsaidia sana Mpendazoe na mgombea Udiwani wa kata yangu, sikuona msaada wowote wa Chadema, kama siyo sisi yule mgombea alitamani kujiotoa lakini tulimpa moyo na kumuwezesha.

Kila mkutano tulikuwa tunatumia wastani wa mpaka shilling laki tatu kwa ajili ya matangazo, vyombo vya muziki na gharama nyinginezo, tukubali kutokukubaliana, hivi kile kijumba pale kinondoni ndio kina hadhi ya kuwa Chadema Head quoters? labda kama una point nyingine.
 
Sitaki kuamini Chadema hakuna Dira! Hawajui tatizo la msingi kushindwa upinzani daima ni nini! kama hawajui wafanye nini! Hata mimi sielewi mkakati uliopo kuiua CCM na kama mikakati ndio hii ya kupata kata 3,we have a very BIG problem!!!!
 
Kuyasusia haya magamba ni kumpiga chura teke, utakuwa unamuungezea hatua tu! Tupambane kisheria, kisiasa, na kijamii kuhakikisha milango ya democrasia inafunguliwa na wananchi wanashiriki siasa kwa uhuru na amani! Siasa imekuwa ni risky mno hapa nchini! watu wanashiriki at their onw risky hii haitakiwi!
 
Kususia uchaguzi ni sawa sawa kumuachia Nguruwe akuchome mishikaki...

Mtasusia nyie TADEA, UMD, NCCR Mageuzi, CUF, UPDP, wataingia kwenye uchaguzi mnadhani wapinzani ni Chadema peke yeu nyie kwanza mnajitenga na wenzenu mnajiona bora zaidi ya wengine.

Tatizo lenu Chadema mnajidanga humu JF na kura zenu za maoni zinawapumbaza akili.
 
Kwenye RED ya kwanza utapata shida sana kunielewa kwa sababu mimi siku zote nasimama kwenye kweli tu.

Kwenye RED ya pili hizi ndizo porojo nisizotaka kuzisikia, na sijui hapa unanijibu hivi kwamba wewe ndio Mkurugenzi wa Fedha wa Chadema au lah!

Uchaguzi mkuu uliopita nimetumia pesa zangu binafsi nyingi sana, na tulimsaidia sana Mpendazoe na mgombea Udiwani wa kata yangu, sikuona msaada wowote wa Chadema, kama siyo sisi yule mgombea alitamani kujiotoa lakini tulimpa moyo na kumuwezesha.

Kila mkutano tulikuwa tunatumia wastani wa mpaka shilling laki tatu kwa ajili ya matangazo, vyombo vya muziki na gharama nyinginezo, tukubali kutokukubaliana, hivi kile kijumba pale kinondoni ndio kina hadhi ya kuwa Chadema Head quoters? labda kama una point nyingine.

Unabishana na Josephine ngoja ujulikane ndio utajuta kumfahamu kama ujafukuzwa Chadema.
 
Nimeyapenda mawazo haya:

Vyombo vya dola, polisi, usalama wa taifa, mahakama havitekelezi majukumu yake kama vyombo vya taifa badala yake vinafanya kazi kama matawi ya CCM. Lengo ni kuibeba/kuibakisha CCM madarakani.

Viongozi wa Upinzania ni lazima sasa kupambana na haya:

1. kupigania kuwepo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

2.Kuhakikisha na kupiga kelele za kutosha kwa vyombo vya dola ili vianze kufanya kazi
kama vyombo vya nchi na sio kama vyombo vya chama.CCM

3.Kususia Changuzi zote kama mapendekezo hapo juu hayatafanyiwa kazi.

Maneno ya mfa maji hayo. Mwisho wa CDM unakaribia, tusubiri kuona ADC sasa kikiwa chama cha upinzani pekee nchini.
 
wanancHi pia tunapaswa kuelimishana hii ni dawa ya kumtoa mdudu ccm madarakani.TUTOKE TWENDE TUKASEME WAZI WAZI KUHUSU MUUNDO WA TUME TUNAOUTAKA
 
Hakuna sababu ya kususia ila ni kupamabana na hawa madhalimu na udhalimu mpaka haki
ya kweli ya watanzania ipatikane.
uko sawa kabisa, kwa kuwa wanahujumu demokrasia, uhuru wa watu na kibaya zaidi utu, ni lazima nasi tuanze kuvihujumu vyombo hivi kwa mioyo yetu(kuvichukia), kwa midomo yetu(kuvikosoa na kuvilaani) na ikibidi kwa matendo kwani navyo vinatuhujumu mpaka kwa matendo
 
Ninadhani tukiweza kuamua kama watanzania kuipeleka Serikali,Tume ya Uchaguzi na Mwanasheria wa Serikali mahakamani kwanza kwa kuwakosesha wananchi wake haki ya msingi ya kupiga kura na kumchagua kiongozi wampendaye,na pia haki za msingi za kupiga kura kwa amani na haki.
 
Tena nimesoma gazeti la Mtanzania Daima la Jumapili kuhusiana na mtoto wa kigogo kukamatwa China na madawa ya kulevye, tunajua sheria za china yeyote anayekamatwa na issue ya unga anapingwa risasi au kunyongwa je huyu wa kigogo kafanywaje au ndo huyo kigogo atakuwa ameuza kisehemu cha nchi yetu ili mwanae aslile risasi au kitanzi??!!! Naomba hili liwekwe wazi. Na kama aliyesema ana uhakika kwa nini asi,taje huyo kigogo ajulikane!!!
Wananchi tuwekwe wazi kama kuingia msotuni TUKO TAYARI hatuwezi kuvumilia UPUUZI HUU tena.
Kuna hii habari ambayo JF wameamua kuifungia:
[h=3]Rais Jakaya Kikwete aiweka nchi rehani kumuokoa mwanae asinyongwe China. [/h]
September 7, 2012
Ningumu kuamini lakini ni UKWELI
Taarifa za upelelezi makosa ya jinai nchini China zinasema tarehe 01/7/2012, vijana wawili wenye asili ya kiafrika walikamatwa katika uwanja wa ndege wa Hong Kong usiku, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi za Tanzania Bilioni nne, mkuu wa kitengo chakuzuia mihadarati cha uwanja wa Hong Kong Yiu-Kwong anawataja kuwa ni Ridhiwani Jakaya Kikwete na Abdalah Aman Mohamed
Mnamo tarehe 2/7/2012 majira ya saa nne (4:13) za usiku hapa Tanzania, rais Jakaya Kikwete alipokea simu kutoka kwa mtanzania mmoja aitwae Philip Malmo ambae ni balozi wa Tanzania nchini China, Taarifa muhimu baada ya salamu ilikuwa ni Ridhiwani amekamatwa uwanja wa ndege wa Hong Kong na madawa ya KULEVYA,
Kwa haraka, rais akamuuliza vipi suala hili limeshafika hapo ubalozini? Akajibiwa hapana ni mimi na kaimu wangu tu ndie tumepata taarifa hii mda huu, bado hatujaliifanya lakiofisi, tunasubiri ushauri wako mheshimiwa.
Rais alikata simu huku hali yake usoni ikibadilika gafla, ilichukua kama dakika 20 hivi rais akiwa kimya hata kutikisa macho tu hatikisi, baadae akainua simu na kumpigia rais Hu Jintao wa China, Waliongea kwa mda mrefu yapata dakika 40 hivi, na walikonekana kama hawakubaliana kitu fulani katika mazungumzo yao. Baadae simu ikakatwa,
Akampigia simu Malmo nakumwambia suala hili walifanye kwa siri kubwa asijue mtu yeyote, naaweke maandalizi yawe tayari yeye anajiandaa kuja kulimaliza, kasha akampigia tena simu Hu Jintao na walitumia dakika 16 tu akainuka nakusema, vijana, mwambie SD53 aandae ndege haraka kwa safari ya China,
Gari ya kirai namba T 435 CDR aina ya Landcruiser nyeusi iliingia nakuwabeba watu watatu akiwemo rais Jakaya kuelekea airport, kama dakika 13 ikafika airport, tayari ndege ilishaandaliwa na palikuwa na maafisa watatu, wote tuliingia katika ndege ile isipokuwa yule dereva wa gari ambae aligeza mjini, hiyo ilikwa sasa ni saa 7:43 za usiku.
Tarehe 3, majira ya saa nane za usiku kwa china, tulifika China, hakukuwa na aina ya mapokezi yoyote ya kiserikali, na baada ya kushuka tulimkuta Malmo na msaidizi wake wakitusubiri, Malmo alikuwa tayari ameshaandaa hoteli lakini kulingana na tukio lilivyo tulikubaliana tusilale na tukammwambia mheshimiwa rais amwambie Hu Jintao kuwa ameshafika. Rais alitekeleza hilo na baada ya dakika 15 maafisa watatu wa china walifika nakujitambulisha kuwa wenyeji wetu, wakatuchukua hadi alipo Hu Jintao katika moja ya ikulu ya Hong Kong,
Kikao chao kilichukua masaa manne, na jambo kuu walilokuwa wanakubaliana ni mashariti ya kumuachia, Hu Jintao alihitaji jambo moja tu, kwamba nini serikali ya china itapata kwakumwachia huru Ridhiwani? Kilichomvutia Hu Jintao naakamua muachia Ridhwani ni ahadi ya makubaliano ya Rais Kikwete kuwa ataipa China fursa ya uwekezaji wakudumu kusini mwa Tanzania ambako kumegunduliwa mafuta, gesi, na makaa ya mawe.
Kwakuwa sera ya china kwa sasa ni “Now we are going to Africa”, ilisaidia sana kukubali ombi hilo la jk.
Majira ya saa 11 alfajiri kwa saa za china, Ridhiwani aliletwa akiwa katika gari dogo, nakupokelewa na jk huku wakikumbatiana wote WAKILIA. Jk na Jintao wote kwapamoja wakamuonya sana nakumwambia ameliaibisha taifa la Tanzania, lakini kwakujitetea akasema sio yeye, ila inawezekana yule kijana waliyesafiri wote kutoka Ethiopia ndie mwenye mzigo huo.
Majira ya saa 12 za asubuhi tukaondoka kurudi Tz.
Taarifa hii ni yakweli mimi nilikuwemo kwenye msafara huo,
Hutaki unaacha, hulazimishwi kuamini.
Source ni mimi mwenyewe.
Jason Bourne
 
Nimeyapenda mawazo haya:

Vyombo vya dola, polisi, usalama wa taifa, mahakama havitekelezi majukumu yake kama vyombo vya taifa badala yake vinafanya kazi kama matawi ya CCM. Lengo ni kuibeba/kuibakisha CCM madarakani.

Viongozi wa Upinzania ni lazima sasa kupambana na haya:

1. kupigania kuwepo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

2.Kuhakikisha na kupiga kelele za kutosha kwa vyombo vya dola ili vianze kufanya kazi
kama vyombo vya nchi na sio kama vyombo vya chama.CCM

3.Kususia Changuzi zote kama mapendekezo hapo juu hayatafanyiwa kazi.

haya mambo mkayaseme wanapotengenezea katiba...
Ila ntafurahi sana mkionyesha ukomavu na kususia general election 2015.
 
Nimeyapenda mawazo haya:

Vyombo vya dola, polisi, usalama wa taifa, mahakama havitekelezi majukumu yake kama vyombo vya taifa badala yake vinafanya kazi kama matawi ya CCM. Lengo ni kuibeba/kuibakisha CCM madarakani.

Viongozi wa Upinzania ni lazima sasa kupambana na haya:

1. kupigania kuwepo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

2.Kuhakikisha na kupiga kelele za kutosha kwa vyombo vya dola ili vianze kufanya kazi
kama vyombo vya nchi na sio kama vyombo vya chama.CCM

3.Kususia Changuzi zote kama mapendekezo hapo juu hayatafanyiwa kazi.
Josephine, haya unadhani ndiyo yaliyosababisha upinzani kushindwa vibaya katika uchaguzi wa madiwani? Sidhani, nafikiri bado upinzani haujagundua mbinu makini ya kupata kura kutoka kwa wananchi. Hizi kampeni za majukwaani tayari mimi nilishazikataa. Nimezifanya sana mwaka 2005, nikiwa kada wa CCM na nilielewa what it means by kampeni za majukwaani na za nyumba kwa nyumba.

CHADEMA msipumbazwe na idadi kubwa ya watu wanaohudhuria kwenye mikutano yenu, halafu mkabweteka. Kampeni za ukweli ni zile ambazo CCM wamezigundua hivi sasa za nyumba kwa nyumba. Muone mtu personally na umashawishi akukubali, lakini kauli za jumla jumla za majukwaani hizi mtu anazisikiliza anazikubali lakini akifuatwa baadaye na mtu mwingine nyumbani, anashawishika kufanya vinginevyo.

Inafaa sasa CHADEMA wajifunze hii aina mpya ya kampeni, badala ya kutegemea idadi ya watu wanaojaa kwenye mikutano. Nimekuwa kada wa CCM kwa muda mrefu na nimepiga kampeni za CCM kwa muda mrefu, hivi visingizio vya mara polisi, mara sijui usalama wa Taifa au sijui tume ni kujipa moyo tu ili muonekane hamjashindwa sana, lakini ukweli ni kwamba strategy yenu ya kampeni bado si ya kutafutia ushindi.

Si lazima muige kila kitu kutoka CCM, mnaweza pia kubuni mbinu yenu nyingine lakini ambayo itakuwa ni constructive na si kutegemea hizi za majukwaani peke yake.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuna hii habari ambayo JF wameamua kuifungia:
[h=3]Rais Jakaya Kikwete aiweka nchi rehani kumuokoa mwanae asinyongwe China. [/h]
September 7, 2012
Ningumu kuamini lakini ni UKWELI
Taarifa za upelelezi makosa ya jinai nchini China zinasema tarehe 01/7/2012, vijana wawili wenye asili ya kiafrika walikamatwa katika uwanja wa ndege wa Hong Kong usiku, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi za Tanzania Bilioni nne, mkuu wa kitengo chakuzuia mihadarati cha uwanja wa Hong Kong Yiu-Kwong anawataja kuwa ni Ridhiwani Jakaya Kikwete na Abdalah Aman Mohamed
Mnamo tarehe 2/7/2012 majira ya saa nne (4:13) za usiku hapa Tanzania, rais Jakaya Kikwete alipokea simu kutoka kwa mtanzania mmoja aitwae Philip Malmo ambae ni balozi wa Tanzania nchini China, Taarifa muhimu baada ya salamu ilikuwa ni Ridhiwani amekamatwa uwanja wa ndege wa Hong Kong na madawa ya KULEVYA,
Kwa haraka, rais akamuuliza vipi suala hili limeshafika hapo ubalozini? Akajibiwa hapana ni mimi na kaimu wangu tu ndie tumepata taarifa hii mda huu, bado hatujaliifanya lakiofisi, tunasubiri ushauri wako mheshimiwa.
Rais alikata simu huku hali yake usoni ikibadilika gafla, ilichukua kama dakika 20 hivi rais akiwa kimya hata kutikisa macho tu hatikisi, baadae akainua simu na kumpigia rais Hu Jintao wa China, Waliongea kwa mda mrefu yapata dakika 40 hivi, na walikonekana kama hawakubaliana kitu fulani katika mazungumzo yao. Baadae simu ikakatwa,
Akampigia simu Malmo nakumwambia suala hili walifanye kwa siri kubwa asijue mtu yeyote, naaweke maandalizi yawe tayari yeye anajiandaa kuja kulimaliza, kasha akampigia tena simu Hu Jintao na walitumia dakika 16 tu akainuka nakusema, vijana, mwambie SD53 aandae ndege haraka kwa safari ya China,
Gari ya kirai namba T 435 CDR aina ya Landcruiser nyeusi iliingia nakuwabeba watu watatu akiwemo rais Jakaya kuelekea airport, kama dakika 13 ikafika airport, tayari ndege ilishaandaliwa na palikuwa na maafisa watatu, wote tuliingia katika ndege ile isipokuwa yule dereva wa gari ambae aligeza mjini, hiyo ilikwa sasa ni saa 7:43 za usiku.
Tarehe 3, majira ya saa nane za usiku kwa china, tulifika China, hakukuwa na aina ya mapokezi yoyote ya kiserikali, na baada ya kushuka tulimkuta Malmo na msaidizi wake wakitusubiri, Malmo alikuwa tayari ameshaandaa hoteli lakini kulingana na tukio lilivyo tulikubaliana tusilale na tukammwambia mheshimiwa rais amwambie Hu Jintao kuwa ameshafika. Rais alitekeleza hilo na baada ya dakika 15 maafisa watatu wa china walifika nakujitambulisha kuwa wenyeji wetu, wakatuchukua hadi alipo Hu Jintao katika moja ya ikulu ya Hong Kong,
Kikao chao kilichukua masaa manne, na jambo kuu walilokuwa wanakubaliana ni mashariti ya kumuachia, Hu Jintao alihitaji jambo moja tu, kwamba nini serikali ya china itapata kwakumwachia huru Ridhiwani? Kilichomvutia Hu Jintao naakamua muachia Ridhwani ni ahadi ya makubaliano ya Rais Kikwete kuwa ataipa China fursa ya uwekezaji wakudumu kusini mwa Tanzania ambako kumegunduliwa mafuta, gesi, na makaa ya mawe.
Kwakuwa sera ya china kwa sasa ni “Now we are going to Africa”, ilisaidia sana kukubali ombi hilo la jk.
Majira ya saa 11 alfajiri kwa saa za china, Ridhiwani aliletwa akiwa katika gari dogo, nakupokelewa na jk huku wakikumbatiana wote WAKILIA. Jk na Jintao wote kwapamoja wakamuonya sana nakumwambia ameliaibisha taifa la Tanzania, lakini kwakujitetea akasema sio yeye, ila inawezekana yule kijana waliyesafiri wote kutoka Ethiopia ndie mwenye mzigo huo.
Majira ya saa 12 za asubuhi tukaondoka kurudi Tz.
Taarifa hii ni yakweli mimi nilikuwemo kwenye msafara huo,
Hutaki unaacha, hulazimishwi kuamini.
Source ni mimi mwenyewe.
Jason Bourne
Kw nn asinyongwe?
 
We have to be frank. Kwa upinzani wa sasa ambapo kwa sasa chama kinachoongoza upinzani au chenye nguvu ni CHADEMA si rahisi kabisa kuiondoa CCM madarakani. Ni kweli CCM ina matatiZo na ni dhaifu lakini upinzani ni dhaifu zaidi. Wapinzani ni wabinafsi kuliko wale wa CCM. Wapinzani wanagojea CCM ifanye makosa ndipo na wao wanaibuka kuikandia CCM. Uongozi wa upinzani ni bure kabisa. Hivi wewe unategemea Dr. Slaa awe Rais wa nchi hii? CHADEMA . CHADEMA kimejaa ubinafsi na ukabila viongozi wengi wa ngazi za juu wanatoka Uchagani, wabunge wa viti maalum wanapeana kwa ukoo, ushemeji na kadhalika. Baadhi yao viongozi wa CHADEMA wanadiriki kusema kuwa ikibidi mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro itajitenga na Tanzania. Sasa kumbe CHADEMA ni cha ukanda na kinaitumia mikoa iliyobaki kama ushahidi tu. Watanzania sio wajinga. Wataendelea kuipa CCM kura mpaka miaka 50 ijayo. Zimwi likujualo halikuli likakwisha.
 
haya mambo mkayaseme wanapotengenezea katiba...
Ila ntafurahi sana mkionyesha ukomavu na kususia general election 2015.
Kama hiki ndicho mnachokiwaza CCM mbinu yenu imeshindwa hata kabla haijaanza, 2015 CCM ni out hata ikibidi kwa Military option. kaeni na kudanganyana na hizi chaguzi za kata, ila subirini hawa watoto waliokuwa under 18 watakaposajiliwa kwenye daftari jipya ndio mtalijuwa lile bomu alilolisema Lowasa.
 
Hizo kata 3 walizoshinda Chadema wametumia daftari gani?
Kwa mara ya kwanza nimeku - like Ritz. Nafikiri CHADEMA wameanza kutafuta visingizio. Ni vema watazame nyuma ili wajue ni wapi walipojikwaa, halafu waparekebishe, hizi hoja za sijui daftari, mara tume mara sijui polisi, hazina msingi kabisa. Hilo daftari likiboreshwa wanadhani wapiga kura wapya watakaoandikishwa watakuwa ni wanachama wa CHADEMA pekee? Bila shaka watakuwemo wa CCM huko kwa hiyo yatakuwa ni yale yale tu. Tafakarini vizuri ni wapi mlipokosea. Otherwise, tutakuwa watu wa kuisindikiza tu CCM kwenye kila uchaguzi.
 
Back
Top Bottom