NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,235
- 16,671
Wakuu,
Kila mwaka CAG anatoa ripoti zake na kuonyesha mambo yale yale na kilio kile kile.
Naomba mtambue kwamba wizi, ufisadi na ubadhirifu ni maamuzi ya nchi yetu hayo yawepo na kushamiri na vyombo vyote vya usalama vina bariki hayo kutokea ndiyo maana hayaishi!
Dola na baraza la usalama wa taifa na nchi kwa ujumla vingetokomeza haya kama tu visingeridhia haya kutokea kwa kuwa vipo na haya yapo basi wanayalinda ili yaendelee kutokea miaka hadi miaka!
Kama vyombo vya ulinzi na usalama vingeyachukia haya na kuamua ku deal nayo yasingetokea. Yanatokea kwa sababu dola imeamua kulinda watendaji wanayoyafanya hayo ndio maana hayaishi.
Tunapiga kelele weeee lakini kama yana baraka kutokea yatatokea tu hata tufanyaje.
Siku deep state ikiamua huu ujinga usiwepo hautokuwepo lakini kwa kuwa inaona na haifanyii kazi kutokomeza basi yataendelea kuwepo!
Nawashauri watanzania wenzangu tuelekeze akili, mawazo na nguvu zetu kwenye mambo mengine coz haya yana baraka ndio maana kila mwaka yapo!
Siku dola ikiamua yaishe hutoyasikia tena yapo kwasababu yamepangwa yawepo kama yalivyo!!
Haiwezekani awamu karibu zote yanaripotiwa mambo yale yale halafu hayafanyiwi kazi na yanaendelea kila mwaka!maana yake ni kuwa yana baraka za dola kutokea!
Mlale unono!
Kila mwaka CAG anatoa ripoti zake na kuonyesha mambo yale yale na kilio kile kile.
Naomba mtambue kwamba wizi, ufisadi na ubadhirifu ni maamuzi ya nchi yetu hayo yawepo na kushamiri na vyombo vyote vya usalama vina bariki hayo kutokea ndiyo maana hayaishi!
Dola na baraza la usalama wa taifa na nchi kwa ujumla vingetokomeza haya kama tu visingeridhia haya kutokea kwa kuwa vipo na haya yapo basi wanayalinda ili yaendelee kutokea miaka hadi miaka!
Kama vyombo vya ulinzi na usalama vingeyachukia haya na kuamua ku deal nayo yasingetokea. Yanatokea kwa sababu dola imeamua kulinda watendaji wanayoyafanya hayo ndio maana hayaishi.
Tunapiga kelele weeee lakini kama yana baraka kutokea yatatokea tu hata tufanyaje.
Siku deep state ikiamua huu ujinga usiwepo hautokuwepo lakini kwa kuwa inaona na haifanyii kazi kutokomeza basi yataendelea kuwepo!
Nawashauri watanzania wenzangu tuelekeze akili, mawazo na nguvu zetu kwenye mambo mengine coz haya yana baraka ndio maana kila mwaka yapo!
Siku dola ikiamua yaishe hutoyasikia tena yapo kwasababu yamepangwa yawepo kama yalivyo!!
Haiwezekani awamu karibu zote yanaripotiwa mambo yale yale halafu hayafanyiwi kazi na yanaendelea kila mwaka!maana yake ni kuwa yana baraka za dola kutokea!
Mlale unono!