Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Nimeyapenda mawazo haya:
Vyombo vya dola, polisi, usalama wa taifa, mahakama havitekelezi majukumu yake kama vyombo vya taifa badala yake vinafanya kazi kama matawi ya CCM. Lengo ni kuibeba/kuibakisha CCM madarakani.
Viongozi wa Upinzania ni lazima sasa kupambana na haya:
1. kupigania kuwepo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.
2.Kuhakikisha na kupiga kelele za kutosha kwa vyombo vya dola ili vianze kufanya kazi
kama vyombo vya nchi na sio kama vyombo vya chama.CCM
3.Kususia Changuzi zote kama mapendekezo hapo juu hayatafanyiwa kazi.
Vyombo vya dola, polisi, usalama wa taifa, mahakama havitekelezi majukumu yake kama vyombo vya taifa badala yake vinafanya kazi kama matawi ya CCM. Lengo ni kuibeba/kuibakisha CCM madarakani.
Viongozi wa Upinzania ni lazima sasa kupambana na haya:
1. kupigania kuwepo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.
2.Kuhakikisha na kupiga kelele za kutosha kwa vyombo vya dola ili vianze kufanya kazi
kama vyombo vya nchi na sio kama vyombo vya chama.CCM
3.Kususia Changuzi zote kama mapendekezo hapo juu hayatafanyiwa kazi.