Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,528
- 30,592
CCM wataweka kura za maruhani na hata mshindi atapa asilimia kumi bado atatangazwa kuwa rais cause katiba inataka simple majority.Ili kunogesha uchaguzi mwaka huu wagombea wawe kama ifuatavyo:-
1. CCM - Mh. J P Magufuli
2. CHADEMA - Mh. Tundu A Lissu
3. ACT - Mh. Benard Membe
Nina hakika mshindi hatavuka 60% na wengine watakuwa na 40%.