Upimaji holela DNA udhibitiwe

Upimaji holela DNA udhibitiwe

Mkuu hichi kipimo kikiwa rahisi ndoa nyingi zitavunjika na kupelekea watoto wengi wa mitaani tuendelee kulea tu hamna namna.

hilo ndio linakuogopesha? Lakn huogopi kulea mtoto asiye wako? Mm naamin hakuna mtoto asiye na baba uzuri ni kuwa ikigundulika sio wako mwanamke atalazmika kumpeleka mtoto kwa baba yake halisi na yeye akaishi hukohuko
 
Bado sijaelewa madhumuni ya Mkemia Mkuu kuwasilisha taarifa potoshi namna ile! Taarifa imewakilishwa kama matokeo ya utafiti rasmi wakati yalikuwa ni matokeo ya sampuli za watu waliokwenda kupimwa wakiwa katika ubishi wa kisheria.
Upimaji na utoaji holela matokeo ya DNA unakwenda kinyume cha maadili ya kisayansi na naishangaa wizara ya kina Kigwangala "kupotezea" upotoshaji huu na kuhangaika na waganga wa asili ambao baadhi matibabu yao yameleta matumaini na wameonyesha uwezo wa kufahamu wanachofanya hata zaidi ya hao Vigwangala!

Well said mkuu, inabidi kuwe na clarification maana mtaani watu wameanza kuangalia wake zao vibaya. Ile percentage ni kwa wale walienda "wakiwa na mashaka". So the number being high is okay, ninavyojua estimate za dunia ni kwamba close to 10% ya madingi wanalea watoto sio wao.
 
Acheni UZINIFU...oeni au oleweni kihalali na hapo mtakua free from any doubt....fuateni misingi ya dini.
 
Bado sijaelewa madhumuni ya Mkemia Mkuu kuwasilisha taarifa potoshi namna ile! Taarifa imewakilishwa kama matokeo ya utafiti rasmi wakati yalikuwa ni matokeo ya sampuli za watu waliokwenda kupimwa wakiwa katika ubishi wa kisheria.
Upimaji na utoaji holela matokeo ya DNA unakwenda kinyume cha maadili ya kisayansi na naishangaa wizara ya kina Kigwangala "kupotezea" upotoshaji huu na kuhangaika na waganga wa asili ambao baadhi matibabu yao yameleta matumaini na wameonyesha uwezo wa kufahamu wanachofanya hata zaidi ya hao Vigwangala!

Kama ungemuelewa Mkemia usingeandika haya...je ulimsikiliza hizo asilimia alisema za wananchi wote....mie nilimsikiliza na alisisitiza kuwa asilimia zinahusu idadi ya wale waliopimwa pale kituoni....
 
Acheni UZINIFU...oeni au oleweni kihalali na hapo mtakua free from any doubt....fuateni misingi ya dini.

Mkuu, hapa tatizo siyo uzinifu wala kuoa au kuolewa, tatizo ni watoto ambao mke pamoja na kuwa ndani ya ndoa anaenda kuwatafuta kwa mwanaume mwingine halafu analeta ulee! sidhani kama percent yote hiyo hawana dini la hasha, dini yaweza kuwa yako na imani yako, mwenzi wako naye yuko hivyo? Muonekano wa mtu wa nje siyo lazima uakisi kilicho ndani yake. Don't get disappointed one day.
 
Ukelea ambao si wako ujue kuna janamaa analea wa kwako...maisha yaendelee.
 
Unadhani kupima DNA ni unaruhusiwa kirahisi hovyo...
 
DNA kwa Tz ipo kwa mkemia mkuu wa serikali tuuu,na inatumika kutambua vinasaba mbalimbali hata vya wahalifu pia ,lakini kufikia maamuzi ya kupima ni lazima muwe mmeanza mbali na mzazi mwenzio i mean kuwe na mgogoro mahakamani ambao mahakama kwa busara zake itaona kuwa ili kutatua mgogoro huo ni lazima utambuzi wa vinasaba vya wazazi uwepo,na wanaopimwa husindikizwa na majibu hawapewi wao huwa yanarudishwa mahakamani kisha mahakama inaamua kifuatacho.

Hapana Acheni kupotosha, kupima ni hiari au kuwe na mgogoro katika familia. Cha kufanya ni kupata barua ya mtaa inayokutambulisha ukazi wako kwenye huo mtaa, unaenda nayo ustawi wa jamii na kueleza malalamiko yako, wao wanakuandikia barua ya kwenda kwa mkemia mkuu na wao wanaipokea na kukupa acc yao ukalipe na kuwapangia tarehe ya kupima, mkishapima mnasubiria majibu ambayo mtapewa kupitia afisa ustawi wa jamii aliyesikiliza hayo malalamiko, endapo unaona ustawi ni njia ndefu waweza mtumia hata wakili yeyote yule badala yake. Haina haja ya kukimbilia mahakamani moja kwa moja.
 
Hapana Acheni kupotosha, kupima ni hiari au kuwe na mgogoro katika familia. Cha kufanya ni kupata barua ya mtaa inayokutambulisha ukazi wako kwenye huo mtaa, unaenda nayo ustawi wa jamii na kueleza malalamiko yako, wao wanakuandikia barua ya kwenda kwa mkemia mkuu na wao wanaipokea na kukupa acc yao ukalipe na kuwapangia tarehe ya kupima, mkishapima mnasubiria majibu ambayo mtapewa kupitia afisa ustawi wa jamii aliyesikiliza hayo malalamiko, endapo unaona ustawi ni njia ndefu waweza mtumia hata wakili yeyote yule badala yake. Haina haja ya kukimbilia mahakamani moja kwa moja.

Je naruhusiwa kuwapeleka Watoto wangu kupima DNA kwa siri bila mama yao kujua?
 
Mkuu hichi kipimo kikiwa rahisi ndoa nyingi zitavunjika na kupelekea watoto wengi wa mitaani tuendelee kulea tu hamna namna.

Mi mkuu naona bora viwe rahisi,kama ndoa kuvunjika bora zivunjike tu zibakie ndoa za ukweli na sio bandia
 
Namuonea huruma jamaa yng mmoja daah inauma sana analea mtoto ambaye sio wake alafu mkeo anatamba kabsaa na kumkebihi jamaa

Molembe, unamsikia mdau sasa anavyosema,sasa si bora viwe kipoa tu
 
Last edited by a moderator:
Je naruhusiwa kuwapeleka Watoto wangu kupima DNA kwa siri bila mama yao kujua?

Yaramazlik, inaruhusiwa, ila itakubidi utoe sababu ni kwanini unawapima kwa siri, ili afisa ustawi ajue anakupa barua ya aina gani kwenda kwa mkemia mkuu. Hii ni kwa ajiri ya kuwalinda watoto mara majibu yatakapokuwa kinyume na matarajio yako!
 
Haswaaah,yaani hilo swala linaniumiza saana ,kwa kuwa niliambiwaga nimempa mimba binti,hivyo ni lazima nikapime labda waniroge nife kabla ya kwenda
 
Sasa mkuu huu ni ushauri gani,kwa hyo waendelee kulea damu zisizokuwa zao kwa sababu hyo???,mi naona kipimo kikiwa rahisi ndio fresh kwani madada zetu ndo watatuzalia watoto wetu halisi na si wa kubambikiziwa kama hv sasa

heeeee!!!!! dada ako akuzalie mtoto wako halisi tena!!
 
Back
Top Bottom