Upi ujinga kati ya haya

Kutembea njiani na ghafla unaruka kwa nguvu kitu kama mavi na kukishika kwa kidole na kulamba na kugundua ni mavi,.unafurahi na kusema eti bora hujayakanyaga.
 
Ujinga ni kung'ang'ania kuishi Dar wakati hata kula yako na pa kulala pako pa tabu,wakati kijijini kwenu kuna Utajiri wa kila aina.
 
kumwagilia mchicha ilhali mvua inanyesha... kujamba ukiwa umejifunika shuka na hutaki kufunua kuogopa harufu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom