zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,688
- Thread starter
- #21
Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi murua kuhusu hao Annunaki na Aruba ni jamii kama ya Goliath yalikuwa na yenyewe majitu makubwa yenye nguvu enzi hizo naona labda mfano wako utakuwa umetosheleza kueleza kuhusu hawa Annunaki piaMkuu
Kama sijakosea.Baada ya Gharika Mungu aliziacha nafsi za hao wanefili hai ili vizazi vyote vije vishuhudie yaliyotokea..
Lakini hizi nafsi pia ndio zilianza tena kazi kuendeleza ubaya kwa kuwatumia watu..
Ndio zilizomwongoza nimrod kujenga Mnara wa babeli..
Pia zinafanya mengi makubwa kwa kupitia binaadam wenyewe eg Illuminat.
Suala la kanani naweza sema kua hao hawakua wanefili bali tu itakua ilikua tu kutokana na asili ya majimbile ya watu mfano Muha wa mkongoro akisimama na msukuma wa shinyanga lazima ajione panzi maana kiasili waha wafupi wasukuma warefu.
Pia mfano Goliath alikua ni jitu kubwa lenye mwili uliopanda juu lkn si Wanefili.
So suala la hapo kanani si dhani kua walikua wamewaona wanefili.
Hao uliotaja paragraph ya mwisho siwafaham labda unielezee nipate elimu
Ahsante