Upewe million ukae Mwaka mzima bila kutumia simu, utaweza?

Hiyo milioni ukiigawanya kwa siku 365 za mwaka hesabu itakuja hivi
1, 000, 000÷365=2, 740/-

Yaani shilingi elfu mbili miasaba arobaini tu kwa siku ndio utakuwa unaingiza. Sasa hicho kiasi ndio kikutenge na simu yako?
 
HHahaha huy
Kuna chali hapa anasema miaka miwili apewe million 2 zake tu.


Lunatic
emoji2957.png
emoji2957.png
emoji2957.png
we ungeweza
Why not boss? Japo ofa yenyewe nimeichekecha namna hiyo nikaona ni ubatili mtupu
great thinker
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom