HUKU ABROAD
Senior Member
- Nov 20, 2020
- 127
- 209
Millioni ipo mfuko wa shati hakuna kuingia jamiiforum , Facebook , Instagram wala kupiga simu kwa mtu yoyote yaani simu ikae flight mode mwaka mzima utaweza weweeee
Unataka mawazo ya kitajiri au sioMawazo ya kimasikini bhana!
Nakuwekea million tano hapa saivi usile wala kunywa chochote wala kutoka chumbani kwa muda wa siku sabaMillioni ipo mfuko wa shati hakuna kuingia jamiiforum , Facebook , Instagram wala kupiga simu kwa mtu yoyote yaani simu ikae flight mode mwaka mzima utaweza weweeee
Hiyo milioni ukiigawanya kwa siku 365 za mwaka hesabu itakuja hivi
1, 000, 000÷365=2, 740/-
Yaani shilingi elfu mbili miasaba arobaini tu kwa siku ndio utakuwa unaingiza. Sasa hicho kiasi ndio kikutenge na simu yako?
mmmh Hiki ni kikwazo! tayariusile wala kunywa chochote
mmmh Hiki ni kikwazo! tayari
Wachawi bhana..😅Nakuwekea million tano hapa saivi usile wala kunywa chochote wala kutoka chumbani kwa muda wa siku saba
Siku 7 hutoboi labda kama ni manzi ila mwamba siku 6 tu lazma ukate moto!ila siku saba mtu unatoboa, unatoka hoi taabani ila na kifuta jasho.
Why not boss? Japo ofa yenyewe nimeichekecha namna hiyo nikaona ni ubatili mtupuwatu mko makini, so you considered the offer?
kwakweli.Jamaa hayupo serious na mawazo yake kama ya watoto wa msingi
Wamekufanya nini tenaWachawi bhana..
we ungewezaKuna chali hapa anasema miaka miwili apewe million 2 zake tu.
Lunatic
great thinkerWhy not boss? Japo ofa yenyewe nimeichekecha namna hiyo nikaona ni ubatili mtupu
Niko hapa, nawezaKuna chali hapa anasema miaka miwili apewe million 2 zake tu.
Lunatic