Upepo umebadilika baada ya kutangazwa mabadiliko ya baraza la mawaziri, ukweli ni kwamba wengi hajaridhishwa na baraza hilo.

Blackafrica

Senior Member
Jun 26, 2021
141
401
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
 
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
Hawajaridhishwa kwani walikuwa wanasubiri dodo kwenye mnazi?

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?

Kwa hisani, kazi na iendelee!
 
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
Nimesikitika sana kuachwa Lukuvi
 
Hao ambao hawajaridhika waelewe kuwa sukari ilimwagwa Ziwa Victoria. Sasa tutaendelea kumwaga sukari Ziwa Victoria mpaka lini?
 
Kuwa kiongozi ni kazi ngumu sana hasa Africa, maana unaowaongoza huwezi kuwaridhisha na kila siku lazima waje na jambo jipya...kila utakachofanya lazima itafutwe kasoro.....

Kifupi, Rais hawezi akakupa peni na karatasi uandike baraza unalolipenda wewe then yeye atangaze tu, Rais ana washauri wake na vyombo vinavyoweza kumsadia katika kazi yake... aliowateu anajua kwanini kawateua na aliowatema anajua kwanini kawatema.
 
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha

Usisemee wengine
 
Ninyi ma CCM tamaa imewazidi sana.
Tishekeni na mishahara yenu
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
 
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
Family Gang,Vasco Dagama anaupiga mwingi sana.
 
Back
Top Bottom