Upepo umebadilika baada ya kutangazwa mabadiliko ya baraza la mawaziri, ukweli ni kwamba wengi hajaridhishwa na baraza hilo.

Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
Bila shaka ni mmoja wa sgang au mwanafamilia🏃
 
Mna nongwa sana..
Poa tu kama ulikuwa mtu mzima enzi za awamu ya 4 utajua kwanini JPM alijikuta analamba urais bila kutarajiwa n wengi kwenye chama, wananchi wameshachoka na kashfa za ufisadi Leo hii umeme hauleweki, maji watu wenye Dili za kutuuzia maji wamerudi Kwa Kasi nk bidhaa zimepanda bei hivi utamueleza mwananchi akuelewe?
 
Poa tu kama ulikuwa mtu mzima enzi za awamu ya 4 utajua kwanini JPM alijikuta analamba urais bila kutarajiwa n wengi kwenye chama, wananchi wameshachoka na kashfa za ufisadi Leo hii umeme hauleweki, maji watu wenye Dili za kutuuzia maji wamerudi Kwa Kasi nk bidhaa zimepanda bei hivi utamueleza mwananchi akuelewe?
Nakuelewa mkuu..
 
Lukuvi kaachwa kwa sababu ni threat kwa nafasi ya uraisi wa mama.Anavigezo vyote vya kuwa Raisi wa TZ.
Aliowatoa ni wale wanaoutaka uraisi angalia hata umri wao ni wale wenye haiba ya uraisi.Mama kaacha vijana ambao bado sana kuwa maraisi wa nchi.Hili ni jicho langu kutokana na ile kauli yake ya kuwaweka pembeni wanaouraka uraisi.
Lukuvi alikuwa the best waziri kwenye serikali ya JPM na hii ya SSH, sina hakika kama huyo mama aliemrithi lukuvi ataweza kuvaa viatu vya lukuvi.
 
Bado mapema mno kufanya tathmini ya walioteuliwa ama kuhamishwa.

Tujipe muda,inawezekana yajayo yakafurahisha zaidi kuliko tulikotoka.

Yawezekana tatizo letu sisi Watanzania tulio wengi kiasi cha kutokuendelea kama walivyo wenzetu sio mfumo bali ni majungu/fitina,chuki binafsi, uzandiki na pengine ni wivu tu kiasi cha kutupotezea muda mwingi kujadili kuliko kufanya kazi kwa bidii.

Binafsi sioni tatizo lolote kwenye uteuzi wa leo, tatizo ni wateule watakaposhindwa kutimiza majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao.
 
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
Shida ya watanzania hakuna atakaeweza kuihoji wala kuyakataa maamuzi yalio tolewa na watawala wa nchi hii. Hakuna tatakaweza kuandamana wala hakuna mahala ambapo unaweza peleka malalamiko yako yakasikilizwa wala kufanyiwa kazi kiasi useme wananchi wameisema na wamesikilizwa mahitaji na malalamiko yao. Ikiwa kama hatuna pakuhojia wala nguvu yakuwawajibisha watawala vipi tutaweza idai katiba mpya? wapi tunaweza kusema barazalamawaziri halikidhi mahitaji ya nchi sasahivi? Haya nimawazo yangu nakubali kukosolewa.
 
Huyu mama hakuna kitu ateue waziri mkuu kwanza nb hili ni Baraza la

Lukuvi kaachwa kwa sababu ni threat kwa nafasi ya uraisi wa mama.Anavigezo vyote vya kuwa Raisi wa TZ.
Aliowatoa ni wale wanaoutaka uraisi angalia hata umri wao ni wale wenye haiba ya uraisi.Mama kaacha vijana ambao bado sana kuwa maraisi wa nchi.Hili ni jicho langu kutokana na ile kauli yake ya kuwaweka pembeni wanaouraka uraisi.
Lukuvi alikuwa the best waziri kwenye serikali ya JPM na hii ya SSH, sina hakika kama huyo mama aliemrithi lukuvi ataweza kuvaa viatu vya lukuvi.
Lukuvi humjui wewe
 
Shida ya watanzania hakuna atakaeweza kuihoji wala kuyakataa maamuzi yalio tolewa na watawala wa nchi hii. Hakuna tatakaweza kuandamana wala hakuna mahala ambapo unaweza peleka malalamiko yako yakasikilizwa wala kufanyiwa kazi kiasi useme wananchi wameisema na wamesikilizwa mahitaji na malalamiko yao. Ikiwa kama hatuna pakuhojia wala nguvu yakuwawajibisha watawala vipi tutaweza idai katiba mpya? wapi tunaweza kusema barazalamawaziri halikidhi mahitaji ya nchi sasahivi? Haya nimawazo yangu nakubali kukosolewa.
Kwahiyo unataka katiba ambayo nawe utateua mawaziri?
 
Wapanga njama dhidi ya mwenza wake wote kawarudisha, huyu mama anapelekeshwa sana na mzee wa msoga
 
mama ni mlafi wa madaraka,amewatoa presdential materials, hawa walikuwa threat kwake
kaacha vijana na kateaua 75% ni vijana na ambao hawana haiba ya kuwa marais,Ila 2025 hatoboi hata iweje!!
 
Ukubali ukatae majority hawajaridhishwa na mabadiliko ya mawazili aliofanya mama kupitia, sura nyingi haziakisi kufanya kazi ngumu iliyopo mbele, bali zipo hapo kutuludisha awamu ya mzee wa msoga.
Kutokana na hilo naona kabisa hii ni kete ya kupata katiba mpya, kwa sasa mahitaji ya katiba mpya sio hoja au ajenda ya wanasiasa bali ni hoja ya wananchi wa Tanzania. Tuungane kudai katiba mpya ndipo hizi drama zitaisha
Na siyo ile katiba pendekezwa ya Bunge la katiba, hapana. Tunataka rasimu ya Jaji Warioba.
 
Kama
Lukuvi kaachwa kwa sababu ni threat kwa nafasi ya uraisi wa mama.Anavigezo vyote vya kuwa Raisi wa TZ.
Aliowatoa ni wale wanaoutaka uraisi angalia hata umri wao ni wale wenye haiba ya uraisi.Mama kaacha vijana ambao bado sana kuwa maraisi wa nchi.Hili ni jicho langu kutokana na ile kauli yake ya kuwaweka pembeni wanaouraka uraisi.
Lukuvi alikuwa the best waziri kwenye serikali ya JPM na hii ya SSH, sina hakika kama huyo mama aliemrithi lukuvi ataweza kuvaa viatu vya lukuvi.
Kama ni hivyo basi huyu Bibi ana Hofu sana,na hajamini katika utendaji wake wa Kazi
 
Back
Top Bottom