ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Kauli zinazotumiwa na Mhe. Nape pengine zinaonyesha upeo mdogo wa fikra alionao, na pia zinaanika nia aliyonayo ndani ya CCM na ni dhairi yeye si mkaaji ndani ya chama hicho na sijui ni kigezo gani kilitumika kumpa wadhifa wa Ukuu wa Wilaya na huu wa "Uchochezi" alionao sasa au labda ilitumika mbinu ya "Mchawi mpe Mwana alee"
Anayasema haya kwenye Facebook yake:
Anayasema haya kwenye Facebook yake:
Nape Nnauye
‎"tumeshinda Igunga ili tuheshimiane..."
Mobile Uploads
Nape Nnauye
‎"maneno yako baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miisho yao twaishuhudia ni mibaya"
Mobile Uploads
Nape Nnauye
‎"....teh teh! Mwangwi wa kipigo dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi Igunga huoooo!!!!"
Mobile Uploads
Nape Nnauye
‎"Ukitaka kujua kesho ya zizi la ng'ombe angalia ndama wake"
Mobile Uploads
‎"tumeshinda Igunga ili tuheshimiane..."
Mobile Uploads
Nape Nnauye
‎"maneno yako baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miisho yao twaishuhudia ni mibaya"
Mobile Uploads
Nape Nnauye
‎"....teh teh! Mwangwi wa kipigo dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi Igunga huoooo!!!!"
Mobile Uploads
Nape Nnauye
‎"Ukitaka kujua kesho ya zizi la ng'ombe angalia ndama wake"
Mobile Uploads