Upeo wa nape (.....)

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Kauli zinazotumiwa na Mhe. Nape pengine zinaonyesha upeo mdogo wa fikra alionao, na pia zinaanika nia aliyonayo ndani ya CCM na ni dhairi yeye si mkaaji ndani ya chama hicho na sijui ni kigezo gani kilitumika kumpa wadhifa wa Ukuu wa Wilaya na huu wa "Uchochezi" alionao sasa au labda ilitumika mbinu ya "Mchawi mpe Mwana alee"

Anayasema haya kwenye Facebook yake:

Nape Nnauye
‎"tumeshinda Igunga ili tuheshimiane..."


Mobile Uploads




Nape Nnauye
‎"maneno yako baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miisho yao twaishuhudia ni mibaya"


Mobile Uploads




Nape Nnauye
‎"....teh teh! Mwangwi wa kipigo dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi Igunga huoooo!!!!"


Mobile Uploads





Nape Nnauye
‎"Ukitaka kujua kesho ya zizi la ng'ombe angalia ndama wake"


Mobile Uploads



 
........kaka waachieni ccm vuvuzela lao, sasa hv wamelionya liache kupigwa nje ya uwanja (kikao/vikao) burudani imepungua
 
Kauli zinazotumiwa na Mhe. Nape pengine zinaonyesha upeo mdogo wa fikra alionao, na pia zinaanika nia aliyonayo ndani ya CCM na ni dhairi yeye si mkaaji ndani ya chama hicho na sijui ni kigezo gani kilitumika kumpa wadhifa wa Ukuu wa Wilaya na huu wa "Uchochezi" alionao sasa au labda ilitumika mbinu ya "Mchawi mpe Mwana alee"

Anayasema haya kwenye Facebook yake:

Nape Nnauye
‎"tumeshinda Igunga ili tuheshimiane..."


Mobile Uploads




Nape Nnauye
‎"maneno yako baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miisho yao twaishuhudia ni mibaya"


Mobile Uploads




Nape Nnauye
‎"....teh teh! Mwangwi wa kipigo dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi Igunga huoooo!!!!"


Mobile Uploads





Nape Nnauye
‎"Ukitaka kujua kesho ya zizi la ng'ombe angalia ndama wake"


Mobile Uploads




Kaka mbona kinyume chake, upeo wako wewe ndo wa kutiliwa mashaka. Hakuna cha maana ulichoandika hapa na tunajiuliza ulitaka kufanya maonyesho ya picha au vipi? Jaribu kujifunza kukaa kimya unapokuwa huna hoja na usigeuze JF kuwa sehemu ya ku-pass time kabla hujaenda kuvizia msosi kwa wazazi.
 
Mimi mwenyewe sijaelewa mleta mada alikuwa na ujumbe gani kwa wanaJF.
 
Jamani Nape hana vision wala mission anasubiri maagizo ili kutekeleza. Nape ni kama kiberenge, kazi yake mnaijua!
 
Nape Nnahuye is CCM party disappointment ever; yeyote aliyempendekeza anajutia mapendekezo yake!
 
Nape Nnahuye is CCM party's disappointment ever; yeyote aliyempendekeza anajutia mapendekezo yake!
 
Nape Nnahuye is CCM party disappointment ever; yeyote aliyempendekeza anajutia mapendekezo yake!
 
Nape Nnahuye is CCM party's disappointment ever; yeyote aliyempendekeza anajutia mapendekezo yake!
 
Nape Nnahuye is CCM party's disappointment ever; yeyote aliyempendekeza anajutia mapendekezo yake!
 
Baadhi ya wana jf wamefilisika kwa hoja..wanatuletea umbea km magazeti ya uwazi na kiu..mfano ni huyu aloleta hii mada apa.
 
Back
Top Bottom