Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,043
MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WA MWAKA 2016 WAWASILISHWA BUNGENI NA KUANZA KUJADILIWA
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewasilisha bungeni muswada wa sheria ya huduma za habari wa mwaka 2016, mjini Dodoma, leo.
"Muswada huu pamoja na manufaa mengine mengi utairasimisha Tasnia ya Habari hapa Nchini" amesema Nape.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewasilisha bungeni muswada wa sheria ya huduma za habari wa mwaka 2016, mjini Dodoma, leo.
"Muswada huu pamoja na manufaa mengine mengi utairasimisha Tasnia ya Habari hapa Nchini" amesema Nape.