missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,008
- 7,338
dah aisee kweli mitandaoni hakuna couple goals kila mtu anapambana na hali yake
Mwanaume marioo ana shida Sana, mpenda mteremko acha atumwe tu, maana yule angetakiwa amuongoze mke Sasa matokeo ndio anapelekeshwa mwenyewe. Hafu kazi kupigwa mapicha na video nijuavyo wanaume wanaojielewa hukuti Wana piga piga picha hovyo