Upendo ni nini?

Upendo ni nini?

Umeniquote vibaya sijasema matamanio nimesema mategemeo

upendo wowote huwa unaishi kwa mategemeo, pale mategemeo yanapoanza kupungua basi na upendo unapungua, ndio maana watu wakiachana kauli kama haupo kama nilivyotarajia huwa zinahusika, sababu ulitegemea kitu fulani kwake na kama huwezi kukipata tena basi upendo unaisha
Umeshawahi kuona mtu kashindwa kumove on? That's love tena unconditional. Sio kwamba love imepungua inakuwa huna jinsi. Kuna infantuation ambayo inaweza kugeuka kuwa upendo sawa lakini Huwa inafifia na kupetea with time. Hasa wanawake wengi hupenda wanaume Kwa vitu walivyo nao, baadae inakua kama yupo kifungoni au vise versa Kwa mwanaume kafuata makalio au uzuri wa nje.
 
Umeshawahi kuona mtu kashindwa kumove on? That's love tena unconditional. Sio kwamba love imepungua inakuwa huna jinsi. Kuna infantuation ambayo inaweza kugeuka kuwa upendo sawa lakini Huwa inafifia na kupetea with time. Hasa wanawake wengi hupenda wanaume Kwa vitu walivyo nao, baadae inakua kama yupo kifungoni au vise versa Kwa mwanaume kafuata makalio au uzuri wa nje.
Ukitaka kupima upendo hakikisha kwanza kama hauna upwiru/ nyege
 
Umeshawahi kuona mtu kashindwa kumove on? That's love tena unconditional.
Hii ni kama ulikuwa unakula keki ya kwanza ukaona ni nzuri ukachukua nyingine ni nzuri unataka kuchukua ya tatu unazuiliwa kuchukua hii inamaana bado akili yako inategemea kitu fulani kwenye ile keki ila umeikosa ghafla hivyo ili akili iwe sawa itachukua muda
Hasa wanawake wengi hupenda wanaume Kwa vitu walivyo nao, baadae inakua kama yupo kifungoni au vise versa Kwa mwanaume kafuata makalio au uzuri wa nje.
Hii unaweza kuona unapenda vitu vya kuonekana ila psychological kuna kitu unakitafuta aidha furaha, amani, usalama, mwanamke anapochagua pesa ni kwa sababu ya anahisi atapata usalama ila anapoona hakuna usalama ndio anapondoka, wanaume anapochagua uzuri wa nje kama sura, umbo ni kwa sababu psychological ubongo umeprogramiwa toka zamani kuwa huyo ndio atakuwa na afya nzuri utapata watoto wasio na magonjwa ya kurithi
 
Hapo Kila mtu atakuja na maneno, which is nothing, hakuna maana kwenye emotion. Depth ya hisia haiwezi kuelezeka. Ni nature, na sometimes tunafeel vitu based on past experiences, what we see and how we were raised. Kwa hiyo it is what it is.
📌📌📌
 
UPENDO ni kuwawazia watu mema na kujiwazia mema that is love

Ila kumpa MTU kitu au vitu , inaweza ikawa hata sio UPENDO endapo dhamiri yako unatoa for profit gain kama wafanyavyo watu wawili wanaojiita Mwanamke na mwanaume .
 
Actually Upendo hauna Wivu.

Ukiona una wivu hujapenda, ni ubinafsi tu umejificha kwenye picha ya upendo.

"Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni."
1Wakorintho.13.4.BHN
Ila ukimpenda mtu unakuwa una wivu na yeye, hutaki awe na mtu mwingine.
 
Hii ni kama ulikuwa unakula keki ya kwanza ukaona ni nzuri ukachukua nyingine ni nzuri unataka kuchukua ya tatu unazuiliwa kuchukua hii inamaana bado akili yako inategemea kitu fulani kwenye ile keki ila umeikosa ghafla hivyo ili akili iwe sawa itachukua muda

Hii unaweza kuona unapenda vitu vya kuonekana ila psychological kuna kitu unakitafuta aidha furaha, amani, usalama, mwanamke anapochagua pesa ni kwa sababu ya anahisi atapata usalama ila anapoona hakuna usalama ndio anapondoka, wanaume anapochagua uzuri wa nje kama sura, umbo ni kwa sababu psychological ubongo umeprogramiwa toka zamani kuwa huyo ndio atakuwa na afya nzuri utapata watoto wasio na magonjwa ya kurithi
Sasa hapo una describe matamanio. Upendo ni kitu tofauti. Hizo animal instincts hata Bata anazo.
 
Ila ukimpenda mtu unakuwa una wivu na yeye, hutaki awe na mtu mwingine.
Ndo sio Upendo huo ni ubinafsi.

Upendo unaangalia faida za mwingine kwahiyo utataka the best for that person, hata ikikugarimu wewe kumkosa.

Uko tayari aende kwa mwingine mradi asiteseke / asikose mambo fulani, mfano huna uwezo wa kuzaa unamuacha aende kwa atakayemzalia. Huna uwezo wa kumtunza unamuambia siwezi kukuchukua.

Ubinafsi unaojifanya ni Upendo is the other way, possessive, jelous...hakuachii pamoja na kuwa anaona unapungukiwa, unadhurika. Mradi uko naye basi uvumilie tu. Tena anaweza kukutesa makusudi kabisa kisaikolojia / kimwili mradi ufungwe kwake asikukose.

Most people talk of Love don't even know what love is. Ni hormones. Ni insecurity. Ni roho chafu / ovu.
 
Upendo ni kumkubali mtu vile alivyo, awe ndugu, rafiki, mpenzi ni kumkubali na mapungufu yake huo ndio upendo, kumvumilia pamoja na mapungufu na udhaifu wake wowote, ngumu kuelewa ee?

Mfano; una mpenzi wako awezi kitu fulani wewe utafanya badala yake

Au una ndugu yako mwizi, kama unampenda hautamtenga kila siku utakuwa unamuhusia kuachana na tabia hiyo bila kumtenga

Au una rafiki yako ananuka jashoau mdomo hauta mkimbia kama unampenda utamtafutia tips za kufanya ili hizo harufu zikate kutoka kwake

Upendo ni kumkubali na kumvumilia unayempenda kwa hali yeyote ile aliyonayo , ulemavu, udhaifu, ujinga na kumsaidia kwenye hali hizo ili apate unafuu kutoka kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom