Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Mlinganisho wowote kati ya mwanamke na mwanaume kwa pamoja kwa kuzingatia vigezo vyenye mizani sawa alwayz mwanaume atashinda tu. Hebu tuangalie mifano halisi katika nchi yetu mambo yanavyoenda. Pamoja na kuwa na sera ya upendeleo kwa wanawake huku tukiamini ukimuinua mwanamke umeinua jamii nzima. Je hv ni kweli Tz tumefanikiwa kwenye dhana hii ya upendeleo? Viti Maalumu, Mawaziri wa kike, Makinda, Migiro wametusaidia nini Tz. Je tumebadilika kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni.