Kweli wajinga wali wao.Siku zote kampeni zikiisha fungwa siku yakupiga Kura hakuna chama kinacho ruhusiwa kutumia vyombo vya chama au nguo kuhamasisha wapiga kura, ukifanya hivyo umekiuka sheria ya uchaguzi
CCm ccm aaaaa aaaa chama cha mapinduzi ccm namba wani ushindi unakujaaaaaaaa!
kwa usimamizi legelege wa sheria, chaguzi ndogo naona ni ubatili mtupu na hasara pia. Je unafurahia kusikia "malusinde"?Kuna wakati huwa natamani kuwe na chaguzi ndogo nyiiingi maana zinakuwa na msisimko na vituko vya kila aina
eep:CCm ccm aaaaa aaaa chama cha mapinduzi ccm namba wani ushindi unakujaaaaaaaa!
nasikia nchemba yupo polisi
mkuu hata mimi nimeisikia hii ya mwenyekiti wa akheri
Muda mfupi ujao zoezi la kupiga kura litamalizika na kura kuanza kuhesabiwa na kisha matokeo kuanzia ngazi ya vituo, kata na baadae Halmashauri kwa ngazi ya ubunge. Wale wote walioko maeneo ambayo uchaguzi unafanyika leo tunaomba wawe wanaturushia hapa ili na sie tulioko mbali tuwe tunajua mwelekeo ukoje.
Karibuni wana jamvi..............