Mkuu nilimaanisha nipo apa mbeya ila siendi sokoine ntakua nipo nawasikiliza kwenye redio, make nawaza tu kuhusu kule cairo
kadi ya njano kwa mchezaji wa prison baada ya kumfanyia faulo tambwe
Mkuu mechi ya leo kwa sababu za kiusalama, haichezewi Cairo, inachezewa Alexandria ambao ni mji wa pili kwa ukubwa Misri. Hii ni kuweka kumbukumbu sawa tu.
Tiba
Mkuu brave one hi ligi na Yanga wamo?maana siwasikii kucheza ligi hii,wao utasikia sijui Uturuki na leo nasikia wanacheza Misri.