KUKU-DUME
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 474
- 196
Kwa matokeo hayo naona ndoto za mikia kushika nafasi ya tatu zinafifia .Huko Mbeya Dakika ni ya 75 Mbeya City 3 - 1 Rhino oRangers
Kwa matokeo hayo naona ndoto za mikia kushika nafasi ya tatu zinafifia .Huko Mbeya Dakika ni ya 75 Mbeya City 3 - 1 Rhino oRangers
Naona umelew AZAM MALT wewe sio bure.mnashikiria nafasi ya kwanza huku tim ya wananchi mmeizid mechi moja.yaana wana mechi moja mkononi kwenu nyie.Safi MBEYA CITY FANYENI MAMBO TUZITOE HIZI iTIMU 2 ZA KARIAKOO PALE JUU. AZAM NDO TUMEKAA PALE JUU HATUTOKI HADI UBINGWA.
naona umelew azam malt wewe sio bure.mnashikiria nafasi ya kwanza huku tim ya wananchi mmeizid mechi moja.yaana wana mechi moja mkononi kwenu nyie.
Endeleeni kuotaa ndotozenu za karibia kunakucha.kwa hiyo nani anaongoza ligi sasa!! Kesho kichapo tu uarabuni!
Naona wadau macho yote mmeelekeza Misri lakini leo ligi kuu tanzania bara inaendelea.
Kikosi cha Simba
1. Berko
2. Shamte
3. Issa rashid
4. Owino
5. Musoti
6. Mkude
7.chanongo
8. Henry joseph
9. Tambwe
10. Kiemba
11. Singano
SUB: ivo, galass, ndemla, mombeki na awadh
Mkuu tutatoka kweli maana timu yetu imekuwa homa ya vipindi, inapanda na kushuka.
safi sana mkuu tunasubiri update
mkuu leo ushindi lazima japo mechi ni ngumu
Naona wadau macho yote mmeelekeza Misri lakini leo ligi kuu tanzania bara inaendelea.
Kikosi cha Simba
1. Berko
2. Shamte
3. Issa rashid
4. Owino
5. Musoti
6. Mkude
7.chanongo
8. Henry joseph
9. Tambwe
10. Kiemba
11. Singano
SUB: ivo, galass, ndemla, mombeki na awadh
Mkuu tutatoka kweli maana timu yetu imekuwa homa ya vipindi, inapanda na kushuka.
Mkuu tutatoka kweli maana timu yetu imekuwa homa ya vipindi, inapanda na kushuka.
mpira umeanza