Hakujatokea viashiria vyovyote vya uchawi maana hawa SIMBA ni jadi yao na ni maarufu kwa kazi hiyo.
Ingwa nipo mbeya ila siendi sokoine akili yangu yite ipo sokoine
Jitoeni tu ufaham.si mmevurugwa.lazima leo yanga mkatwe kidizain
hujaeleweka mkuu, pitia tena bandiko lako?
Ingwa nipo mbeya ila siendi sokoine akili yangu yite ipo sokoine
mlioko mbeya tupeni updates basi. wapi Nakapanya?
Kasoma upepo huyo kajua leo anakula goli kadhaa sasa anataka atoke mapema.berko kaumia kwenye misukosuko ya kona
Sijakuelewa!