Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Uchawi wake nini.Hiki ki'babu (Kibadeni) kitakuwa kichawi hk
Uchawi wake nini.Hiki ki'babu (Kibadeni) kitakuwa kichawi hk
Hata magazeti hususiaga kununua, hawa jamaa wehu kweli.Kweli hawa jamaa ndo walivyo, walivyopigwa tatu siku ya mtani jembe hata kwenye website yao hawakuandika kabisa.
hahahaah! Wazee wa unga.Uturuki hawakufuata kitu ila walipeleka ndo maana walimwacha yule kiungo kwa sababu angemalizia mzigo njiani si unajua ana uzoefu na hivyo vitu. hahahahahaha usije kunitoa macho nilikuwa nawaza tu.
Mulifuata goli 7Kipindi cha pili ndio muda muafaka wa kuwaonyesha nn kilifuatwa uturuki...
Afadhali. Nani kawapelea turubai la msiba huyo?ht Azam 1 - 0 mtibwa
mwisho wa siku utaikubali hata kama hutaki...Mbeya city hata mimi siwapi nafasi.
Kwajinsi anavyo ipenda CCM huyo jamaa, lazima atakua Yanga tu.
Naikubali lakini kuwa mabingwa msimu huu ni ngumu.mwisho wa siku utaikubali hata kama hutaki...
Mkuu sijaidharau ila nilichelea kuiweka kama mshindani kwa ajili ya ubingwa kwa sababu ya uchanga wake lakini pia kwa jinsi ilivyoperform kwenye kombe la mapinduzi.
Kibadeni na Ashanti yake wamewashika pabaya.Yebo yebo mbona Kimya sana, Kulikoni?
Laiti swali hili ungemuuliza Kipindi Yanga inaongoza (japo goli 1) angekujibu faster.Simiyu Yetu eti ni kweli wewe wa jangwani?
Mbona hujaongelea na fitina za soka la bongo?uchanga siyo hoja kwenye soka..inategemeana na uchanga wenu mmejipanga vipi...pia kama ukiangalia kombe la mapinduzi basi hata yanga usiipe ubingwa kwa kufanya vibaya kwenye mechi za majaribio huko uturuki.....hata ma u mbona anafanya vibaya epl lakini anafanya vizuri klabu bingwa ulaya......
Eti wanajiita Manji's army.yanga hovyo kweli yaani wanacho weza ni kupeleka madawa ua kulevya uturuki...
Bila shaka umeiona au siyo!ni vizuri hiyo inaitwa turkish style..