Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Here's Young Africans line-up to face Ashanti United today: 1.Deogratias Munish "Dida" -30 2.Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 4
4. Mbuyu Twite - 6
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Frank Domayo "Chumvi" - 18
7. Mrisho Ngasa - 16
8. Haruna Niyonzima -8
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Said Bahanuzi - 11
11. David Luhende - 3

Subs:
1. Ally Mustafa "Barthez" - 1 2. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 3. Hamis Thabit - 22 4. Nizar Khalfani - 16 5. Hussein Javu - 21 6. Saimon Msuva - 27 7. Jerson Tegete - 10
Naona hawajampanga Okwi, kwa hiyo wameamua kuheshimu maamuzi ya kamati ya TFF?
 
mkuu hizo taarifa sidhani kama zilikuwa sahihi.
na inasemekana hata eddo alipost hayo matokeo, alivurumishiwa matusi...na inasemekana ndio chanzo cha yeye kujitoa fb.
Kumbe ndio kisa cha kujitoa fb yule jamaa...
 
Waliopo uwanjani mtupe matokeo wakuu tunayajitaji sana simiyu ni mbali sana na uwanja wa taifa.
 
hiki ni kikosi cha CUSC v JKT

Said Lubawa Hamad Juma Othman Tamim Juma Nyoso Mbwana Kibacha Jerry Santo Atupele Green Razakh Khalfan Yayo Kato Danny Lyanga na Kenneth Masumbuko. Sub ni Mansour Alawi Abdi Banda Yusuf Chuma Mohammed Miraji Ayoub Semtawa Suleiman Kassim na Abdullah Othman.
 
hiki ni kikosi cha CUSC v JKT

Said Lubawa Hamad Juma Othman Tamim Juma Nyoso Mbwana Kibacha Jerry Santo Atupele Green Razakh Khalfan Yayo Kato Danny Lyanga na Kenneth Masumbuko. Sub ni Mansour Alawi Abdi Banda Yusuf Chuma Mohammed Miraji Ayoub Semtawa Suleiman Kassim na Abdullah Othman.

Mkuu asante kwa taarifa, huu ni ushauri wangu kwako, jitahidi kuwa unaweka koma kati ya jina la mtu mmoja na mwingine ili kurahisisha usomaji.
 
timu yenu ni nzuri ila ina tatizo moja kama kocha atakuwa amelitatua kwenye safari ya uturuki huenda mkafanya vizuri, kama huna macho ya kishabiki na ulikuwa unaangalia vizuri timu yenu ilikuwa na tatizo la kiungo mkabaji pamoja na beki wa kati hata beki wa kushoto naye hakuwa mzuri sana pamoja na kwamba alikuwa anajitahidi kupanda na kupiga krosi nyingi lakini huwa anafanya makosa mengi sana na huwa anachelewa kurudi kusaidia wakati mnaposhambuliwa hasa inapotokea counter attack, na kama hilo tatizo halijatatuliwa itakuwa ngumu sana kuzuia kufungwa mkikutana na timu yenye uchu wa magoli na kwa sababu washambuliaji wenu ni wazuri basi itakuwa kuwahiana atakayewahi kuwa na magoli mengi hadi dakika 90 basi ndo mshindi.

Nikiangalia naona timu zote tatu zina nafasi ya kuchukua ubingwa, ningeweka nne lakini mbeya city nafasi ya wao kuchukua ubingwa ni finyu ukilinganisha na azam, simba na yanga.

mbeya city mbona unaidharau hivi......tunachukua ubingwa kwa taarifa yako
 
Back
Top Bottom