Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
King kibadeni: Leo tukifungwa na yanga, najiuzuru kufundisha"
 
Azam ushindi ni kama kifo kwa binaadam. Ila kwa Wazee wa Uturuq na wenzao Mabingwa wa Bonanza leo watarajie majanga tu.
 
Huko uturuki mlikoenda kujifua. Au ni habari za uongo za kuwaharibia.
mkuu hizo taarifa sidhani kama zilikuwa sahihi.
na inasemekana hata eddo alipost hayo matokeo, alivurumishiwa matusi...na inasemekana ndio chanzo cha yeye kujitoa fb.
 
Leo mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Tanzania bara unaanza, ambapo mabingwa watetezi wanaanza kwa kukipiga na Ashanti kwenye dimba la taifa. Wale wadau wa VPL tuwepo kwa updates. watu8, Masuke, Fidel80, ndetichia na wengine wote wanaohusika.

leo tupo chamazi tunawakaribisha wana wa manungu..
 
Last edited by a moderator:
umenena vema mkuu. tatizo bongo kuna fitna..hao Azam, watasubr kdgo.
Mimi naamini tutatetea kama ulivyosema.
Kutetea mutatetea, sikama afanyavyo kuku? hilo sio tatizo ila kuhusu kuchua ubingwa mwaka huu sahauni. Azam asipo Chukua ubingwa mwaka huu sintaona umuhimu wa kuifuatilia tena hii ligi apo mwakani.
 
Kutetea mutatetea, sikama afanyavyo kuku? hilo sio tatizo ila kuhusu kuchua ubingwa mwaka huu sahauni. Azam asipo Chukua ubingwa mwaka huu sintaona umuhimu wa kuifuatilia tena hii ligi apo mwakani.

well said mkuu..
 
Last edited by a moderator:
leo tupo chamazi tunawakaribisha wana wa manungu..
Pamoja sana Mkuu. Usisahau kurusha japo picha mbili tatu hivi ya matukio yaendeleayo hapo Chamanzi Complex. Ila leo lazima turudi ktk nafasi yetu ya kilasiku.
 
Azam FC, Kikosi kinachoanza leo ni
Mwadini
Erasto
Malika
Moradi
Aggrey
Bolou
Himid
Sureboy
Brian
Kipre
Kimwaga

Substitute
Aishi David Popo Jabir Mcha Kone Karihe
 
Here's Young Africans line-up to face Ashanti United today: 1.Deogratias Munish "Dida" -30 2.Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 4
4. Mbuyu Twite - 6
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Frank Domayo "Chumvi" - 18
7. Mrisho Ngasa - 16
8. Haruna Niyonzima -8
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Said Bahanuzi - 11
11. David Luhende - 3

Subs:
1. Ally Mustafa "Barthez" - 1 2. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 3. Hamis Thabit - 22 4. Nizar Khalfani - 16 5. Hussein Javu - 21 6. Saimon Msuva - 27 7. Jerson Tegete - 10
 
Pamoja sana Mkuu. Usisahau kurusha japo picha mbili tatu hivi ya matukio yaendeleayo hapo Chamanzi Complex. Ila leo lazima turudi ktk nafasi yetu ya kilasiku.
sipo uwanjani mkuu ila snap moja hii...
 

Attachments

  • No title(5).jpg
    No title(5).jpg
    5.1 KB · Views: 213
Back
Top Bottom