Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Ngoja tuanze kwa uzuri kindumbwendumbwe hiki katika safari yetu ya kutetea ubingwa...
 
Leo mabingwa watetezi lazima wakae.
Asante mkuu...kumbe bado unalitambua hilo la kuwa sisi ndio mabingwa watetezi.
Tunakuhaidi kuwa msimu huu pia tunachukua ubingwa..ili msimu ujao uendelee kutuita mabingwa watetezi!!
 
Asante mkuu...kumbe bado unalitambua hilo la kuwa sisi ndio mabingwa watetezi.
Tunakuhaidi kuwa msimu huu pia tunachukua ubingwa..ili msimu ujao uendelee kutuita mabingwa watetezi!!
Ubingwa gani unao uzungumzia?
 
Asante mkuu...kumbe bado unalitambua hilo la kuwa sisi ndio mabingwa watetezi.
Tunakuhaidi kuwa msimu huu pia tunachukua ubingwa..ili msimu ujao uendelee kutuita mabingwa watetezi!!

Mkuu washabiki wa mpira wote wangekuwa na sober mind kama yangu ushabiki ungekuwa mzuri sana, call a spade a spade and not a big spoon. Nikichungulia naona vijana wa Chamazi wako vizuri na kwa nini sijui wanashindwa kuchukua ubingwa, hapa ndo huwa nakubali kweli kwenye mpira mbali na uwezo wa timu na bahati kuamua mshindi nadhani fitina nayo inahusika sana japo imejificha na kwa sababu hiyo kama sisi tutashindwa kuchukua basi huenda mkatetea kama kuku.
 
Mkuu washabiki wa mpira wote wangekuwa na sober mind kama yangu ushabiki ungekuwa mzuri sana, call a spade a spade and not a big spoon. Nikichungulia naona vijana wa Chamazi wako vizuri na kwa nini sijui wanashindwa kuchukua ubingwa, hapa ndo huwa nakubali kweli kwenye mpira mbali na uwezo wa timu na bahati kuamua mshindi nadhani fitina nayo inahusika sana japo imejificha na kwa sababu hiyo kama sisi tutashindwa kuchukua basi huenda mkatetea kama kuku.
Usikonde Mkuu, mwaka huu lazima ubingwa utue ktk ardhi ya TEMEKE.
 
Mkuu washabiki wa mpira wote wangekuwa na sober mind kama yangu ushabiki ungekuwa mzuri sana, call a spade a spade and not a big spoon. Nikichungulia naona vijana wa Chamazi wako vizuri na kwa nini sijui wanashindwa kuchukua ubingwa, hapa ndo huwa nakubali kweli kwenye mpira mbali na uwezo wa timu na bahati kuamua mshindi nadhani fitina nayo inahusika sana japo imejificha na kwa sababu hiyo kama sisi tutashindwa kuchukua basi huenda mkatetea kama kuku.
umenena vema mkuu. tatizo bongo kuna fitna..hao Azam, watasubr kdgo.
Mimi naamini tutatetea kama ulivyosema.
 
umenena vema mkuu. tatizo bongo kuna fitna..hao Azam, watasubr kdgo.
Mimi naamini tutatetea kama ulivyosema.

Timu yenu ni nzuri ila ina tatizo moja kama kocha atakuwa amelitatua kwenye safari ya Uturuki huenda mkafanya vizuri, kama huna macho ya kishabiki na ulikuwa unaangalia vizuri timu yenu ilikuwa na tatizo la kiungo mkabaji pamoja na beki wa kati hata beki wa kushoto naye hakuwa mzuri sana pamoja na kwamba alikuwa anajitahidi kupanda na kupiga krosi nyingi lakini huwa anafanya makosa mengi sana na huwa anachelewa kurudi kusaidia wakati mnaposhambuliwa hasa inapotokea counter attack, na kama hilo tatizo halijatatuliwa itakuwa ngumu sana kuzuia kufungwa mkikutana na timu yenye uchu wa magoli na kwa sababu washambuliaji wenu ni wazuri basi itakuwa kuwahiana atakayewahi kuwa na magoli mengi hadi dakika 90 basi ndo mshindi.

Nikiangalia naona timu zote tatu zina nafasi ya kuchukua ubingwa, ningeweka nne lakini Mbeya City nafasi ya wao kuchukua ubingwa ni finyu ukilinganisha na Azam, Simba na Yanga.
 
Leo mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Tanzania bara unaanza, ambapo mabingwa watetezi wanaanza kwa kukipiga na Ashanti kwenye dimba la taifa. Wale wadau wa VPL tuwepo kwa updates. watu8, Masuke, Fidel80, ndetichia na wengine wote wanaohusika.

nadhani hata mimi nitaiwahi hii mechi
 
Last edited by a moderator:
Timu yenu ni nzuri ila ina tatizo moja kama kocha atakuwa amelitatua kwenye safari ya Uturuki huenda mkafanya vizuri, kama huna macho ya kishabiki na ulikuwa unaangalia vizuri timu yenu ilikuwa na tatizo la kiungo mkabaji pamoja na beki wa kati hata beki wa kushoto naye hakuwa mzuri sana pamoja na kwamba alikuwa anajitahidi kupanda na kupiga krosi nyingi lakini huwa anafanya makosa mengi sana na huwa anachelewa kurudi kusaidia wakati mnaposhambuliwa hasa inapotokea counter attack, na kama hilo tatizo halijatatuliwa itakuwa ngumu sana kuzuia kufungwa mkikutana na timu yenye uchu wa magoli na kwa sababu washambuliaji wenu ni wazuri basi itakuwa kuwahiana atakayewahi kuwa na magoli mengi hadi dakika 90 basi ndo mshindi. Nikiangalia naona timu zote tatu zina nafasi ya kuchukua ubingwa, ningeweka nne lakini Mbeya City nafasi ya wao kuchukua ubingwa ni finyu ukilinganisha na Azam, Simba na Yanga.
mkuu, la beki wa kushoto nakubaliana na wewe, asilia LUHENDE sio beki.
Nimecheza nae timu moja, kipnd flan tuliifkisha timu daraja la 3 sengerema, katika mwainga waliokuwa wanasifika katka hiyo ligi ni yy pamoja na ngasa.
alibadilishwa nafasi baada ya kwenda kagera ya marsh enzi hizo.
nakubaliana na wewe kuhusu hayo mapungufu ya kuchelewa kurudi kukaba.
 
Back
Top Bottom