Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Wadau wa soka la bongo tuendeleze jukwaa la ligi yetu ya bongo hata kama ni mbaya ni ya kwetu....

mwenye matokeo ya mechi za leo atujuze..............
 
Wadau wa soka la bongo tuendeleze jukwaa la ligi yetu ya bongo hata kama ni mbaya ni ya kwetu....

mwenye matokeo ya mechi za leo atujuze..............
Mkuu ulipotelea wapi? Mechi za leo hamna redio inayotangaza labda walioko uwanjani watujuze la sivyo tusubiri vipindi vya michezo.
 
Wababe wetu Villa squad leo wamekiona cha moto, JkT Ruvu nao wamefungwa magoli mawili na Coastal union, Ruvu shooting wammepiga goli moja Oljoro, Kagera sugar na Moro united sare ya mbili mbili.
 
Ligi kuu ya soka ya Tanzania bara inaendelea tena leo kwenye viwanja tatu.

SIMBA na Kagera Sugar uwanja wa Chamazi.
JKT Oljoro na TOTO AFRIKA uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha
Coastal Union na AZAM FC uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga.
Je wekundu wa msimbazi wataendelea kuongoza ligi baada ya kuwasasabua Kiyovu huku mtani wake akiangukia pua....
 
oljoro washaanza kufulia aiseee..
Vibaya sana sijui leo wataambulia nini zidi ya wacho Toto Afrika...Vipi Kesho mtatoka zidi ya vija wanao tisha sana kwasasa vija wa Julio...nilimsikia jana anasema Mungu hawezi akawa kila kitu ahalu wao akawanyima hata ushindi..Uwanja mnao, Pesa mnazo.....hahahah
 
jamani kitoweo ameshikiliwa na kagera suger bado 1-1 huko taifa,Nawaombea kila *la heri kagera suger
 
Back
Top Bottom