Kumbe Yanga wameshinda kwa goli 1: ambalo kwa mjibu wa kocha wa Polisi Dodoma anasema lilikua la utatanishi, kwani limetokea baada ya striker wa Yanga kumnyanga mpira mkononi kipa P.Dodoma na kuutumbukiza wavuni.
siku zote huwa nasema mfa maji haishi kutapatapa sasa weye ulitegemea aseme kalifurahia gol walilofungwa kwani hajipendi/hapendi ajira yake sababu muhimu coz huwa wanatoa ripoti ya mchezo kwa ujumla na reason ya kufungwa