Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
sipo uwanjani ila yanga anaongoza kwa goli moja lililofungwa kipindi cha kwanza...
Asante mkuu kwa taarifa. Much appreciated.
Tiba
sipo uwanjani ila yanga anaongoza kwa goli moja lililofungwa kipindi cha kwanza...
mpira umekwisha Yanga 1-1 Azam FC
labda Manji hakuwa ahidi chochote au ni game lilikuwa tight maana Azam FC hawafai hasa yule mfungaji wao John Boko aka Adebayo kila gemu lazima aingie nyavuni gemu nane magoli 8, kama hatalewa sifa atakuwa tegemeo la Taifa..Du Kandambili mwaka wa Shetani huu, Mnyama Kesho jamani LoL!
Nasikia 1-1 Bunu, duh ngoja tuone kama leo wafunga buti watatubana ?
...Nina mashaka na haya matokeo according to dullonet ?
Simba waongoza kwa Goli 1,limefungwa na Harna Moshi 'Boban'
Dullo wanachanganya sana,yale mpaka ya 1-1 yalikuwa sahihi.Haya ya 4-1 ghafla ndo yanaleta utata.Lakini nina uhakika muda si mrefu Dullo mwenyewe atayaleta matokeo ya ukweli