Mpira umekwisha simba imefanikiwa kuondoka na pointi zote tatu na goli moja lililofungwa dakika ya 24 kwa shuti ilililopigwa na Echesa nakumaliziwa na beki wa Azam kwa bahati mbaya, ilikuwa mechi ngumu sana. sasa tuna msubilia Yebo Yebo... Maji Maji 1 Africa Lyon 1...
Kweli mnyama mwaka huu atamaliza wanyama wote polini