Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Eti YY ni nzuri ? wewe kweli unachekesha......! Tunamjua madega, na fisadi manji mwaka jana na juzi alikuwa anatoa mafungu kwa marefa, na kule tff si mlishehena watu wenu.

Mnyama taifa kubwa, timu mwaka huu imesajiliwa kwa viwango, na hasa umri na sisi tumewekeza kuwa na timu bora kwa muda mrefu. Tuna kocha anayejua kazi yake, na yeye sio mtu wa kupiga domo- eti profwesa, si akashike chaki basi.......teh teh teh teh..

Mmesajili mingongoti, na huyo mbeba mizigo wa cameroon, huku mkitumia waandishi wenu kusifia mizoga, kama huyo winga wa congo, eti anakimbia kama chita- nani alisema mpira ni mbio, si aende basi ktk mita 100 !!
...Ole wenu october mkitia pua, basi ndiyo itakuwa kilio cha miaka nenda rudi, tutawachambua kama karanga.........!!
 
Yebo Yebo wanaweza wasipeleke timu uwanjani si ndiyo zao....
 
Ikitumia wachezaji ambao wamekuwa majeruhi na wageni Simba imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kuilaza Kagera Sugar kwa bao 2 - 0..au unaweza kusema Simba 12 Yanga 5...

Wenye kuchonga nawachonge......wapi na wapi...eti Kandambili?
icon10.gif
 
Wakati Mnyama akitafuta pointi zingine tatu kwenye uwanja wa uhuru... swali ni je, Pesa za kifisadi kufanya kazi huko Jamhuri Stadium leo...
 
Mnyama anaongoza kwa goli 1 wakati Manyema 0 dakika ya 33...
 
Haruna Moshi na Daudi maganga wa Manyema wamepewa kadi nyekudu...hii inaonyesha Maximo alikuwa sahihi kuwa toa timu ya taifa Boban na chuji maana chuji kashafungiwa miezi mitatu na boban anaweza kufungiwa kama ni kweli kapigana uwanjani...matokeo morogoro: mtibwa 0 na yebo yebo 0
 
Haruna Moshi na Daudi maganga wa Manyema wamepewa kadi nyekudu...hii inaonyesha Maximo alikuwa sahihi kuwa toa timu ya taifa Boban na chuji maana chuji kashafungiwa miezi mitatu na boban anaweza kufungiwa kama ni kweli kapigana uwanjani...matokeo morogoro: mtibwa 0 na yebo yebo 0
mechi ya yanga imeisha au bado? jamaa wakipoteza point leo itakuwa powa sana.
 
mliopo viwanjani na mnaosikiliza redio bongo mtujulishe matokeo plz...
 
simaba 2 Manyema 0 dakika ya 54 magoli yote yamepatikana kwa njia ya penalty
 
moro nasikia tu sauti, Manji, manji manji manji sijui kuna nini
 
daaaaah kwani leo yanga kacheza hii kali....Leo ilikuwa ni Afrika Lion na Mtoto wa yanga...nimesikia Africa Lion 6 na Toto Africa 1
 
Leo inaelekea watoto wa Yanga mambo yalikuwa magumu, mimi nawaomba wakate rufaa haiwezekani wafungwe 6... au Africa lion walimchezesha Uhuru seleman teh teh
 
daaaaah kwani leo yanga kacheza hii kali....Leo ilikuwa ni Afrika Lion na Mtoto wa yanga...nimesikia Africa Lion 6 na Toto Africa 1

Thanks mkuu, mie nilikuwa naangalia liverpool, ligi zetu utata mtupu; manji akiugua watu wanachapwa, akipona ushindi tena

balahh
 
Thanks mkuu, mie nilikuwa naangalia liverpool, ligi zetu utata mtupu; manji akiugua watu wanachapwa, akipona ushindi tena

balahh
Hivi Manji huwa hawa saidii Toto Africa..au wanasaidiana kukata rufaa tu au Manji kafulia kama alivyoigiza kwenye orijino comedi..
 
Back
Top Bottom