uliza Jmosi ijayo utapata matokeo maana speed ya mnyama inatisha...Ila Azam,JKT, na Mtibwa wana weza kuwa wapinza halisi wa mnyama katika haraka za kubeba kikombe...maana na sikia Takukuru wameshaingia kwenye soka hivyo YeboYebo hawezi tena kununua mechi kirahisi...simba vp leo?
Mpira umeisha na Simba imefanikiwa kuondoka na pointi 3 zidi ya Africa Lyon..
Tuna mechi ngumu sana zilizobaki..kama tutafanikiwa kuchukua pointi 12 basi uhakika wa kuchukua kikombe mapema mwaka huu upo...Asante sana Crashwise, Mnyama anazidi kuchnja Mbuga, Mechi 7 Pointi 21, bado ana gemu nne tu katika Mzunguko wa Kwanza, tunamsubiri Mtibwa, Yanga, JKT Ruvu na Azam FC
Leo ni Yanga zidi ya Azam FC kwenye uwanja wa Uhuru Dar ni dakika ya 3 sasa
sipo uwanjani ila yanga anaongoza kwa goli moja lililofungwa kipindi cha kwanza...Mkuu Crashwise,
Tafadhali tupashe sisi tulioko mikoani hali ikoje hapo uwanja wa Uhuru mpaka dakika hii?
Natanguliza shukrani.
Tiba