Full time simba 2-ruvu sh 0
Kuna vijana walio pandishwa kutoka Simba B nadhani ni kati yao...huyo frank sekule, nazani ni wa vijana wa simba
Jumamosi 22/10/2011 SIMBA VS JKT RUVU-TAIFA
...Hiyo Avatar badili, kwenye Manchester ni United tuuu hao wengine ni kama Azam,...wasindikizaji...
muhimu , hata mimi nitakuwepoJumamosi lazima nijikongoje nikawaone vijana.
yanga always iko juu acheni fitina