GOLI la pili hilo mfungaji BOBAN, SIMBA 2- RUVU SH 0
kama una redio FREQ 92.3 FMRedio imeacha kutangaza mpira. Inacheza mziki.
kama una redio FREQ 92.3 FM
bado SIMBA 2- RUVU SH 0Lete updates mkuu
nzuri hiyo, UHURU alikuwa akiremba sanaKaseja, Cholo, Jabu, Nyoso, Obadia Mungusa, Jerry Santo, Ulimboka, Mafisango/Kapombe, Sunzu, Okwi, Uhuru/Boban.
Ni kweli Boban ameongeza uhai kwenye striking force. Huyu Kapombe lazima atafanya mambo makubwa zaidi. Anaujua mpira vilivyo.
huyo frank sekule, nazani ni wa vijana wa simbaanaingia frank sekule antoka ulimboka mwakingwe
Dogo Kapombe ni nomaNa m-miss sana kazimoto, hope ataanza kucheza soon. Ile game ya Yanga dk 17 za mwanzo hawatamsahau.....!!
Nafagilia sana yosso, nimeambiwa huyu Kapombe ni balaa, ngoja tumtafutie chuo na scholarship kijana afaidike....
Ni kwelihuyo frank sekule, nazani ni wa vijana wa simba