Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
mi nadhani hiyo yote ni hofu 2 mkuu bila shaka we ni shabiki wa mishikaki but we have 2 wait until 26 oct unatakiwa kujiamin
 
Tupeni list ya yanga ingawa naona kuna watu wana majungu na wivu juu ya yanga
 
dont wonder mkuu ya mwakajana yakajirudia maana mwaka jana hata nafasi ya pili ilikuwa haipewi ilikuwa inacompet nafasi ya tatu bt ulionaje mwishon i thing u know
bahatai haiji mara 2, poleni hangaikieni nafasi ya pili, shindana na azma, maana JKT OLJORO , bado hatampata leo hata mkishinda goli 10
 
bahatai haiji mara 2, poleni hangaikieni nafasi ya pili, shindana na azma, maana JKT OLJORO , bado hatampata leo hata mkishinda goli 10

let me tell u the truth mwaka huu hata kwenye gol diff hatutafika huko lazima kitu kieleweke kumbuka mmetangulia kwa baiskel ya mbao machampion wa ukwel tunakuja
 
let me tell u the truth mwaka huu hata kwenye gol diff hatutafika huko lazima kitu kieleweke kumbuka mmetangulia kwa baiskel ya mbao machampion wa ukwel tunakuja

machampion wa ukweli wapi!!!!, hapa bongo!!!!.....Lumpopo ngoja ije iwasikie.
 
MISHIKAKI, tarehe 29, siyo 26. pole sana tutawafunga tu. sikiliza TBC TAIFA http://www.tbc.go.tz/~tbcgo/tbc-taifa-radio.html

let me tell u the truth mwaka huu hata kwenye gol diff hatutafika huko lazima kitu kieleweke kumbuka mmetangulia kwa baiskel ya mbao machampion wa ukwel tunakuja
haya bana kwa points za mezani za kupewa na TOTO, mkipata timu kama 5 hivi mnaweza kuchukua kombe.

mwenye wivu ajinyonge
 
machampion wa ukweli wapi!!!!, hapa bongo!!!!.....Lumpopo ngoja ije iwasikie.

umewasahau wale waigiza filam wa nigeria akina 'IGWE'walivyo watungua home and away i mean gol 4 home kwao then dar- halali akaja na visingizio kibao et ooh tulizuiliwa airport... Ooh! Cjui walituhujum but wakaja kuwanyuka 3-1 home very sad
 
MISHIKAKI, tarehe 29, siyo 26. pole sana tutawafunga tu. sikiliza TBC TAIFA http://www.tbc.go.tz/~tbcgo/tbc-taifa-radio.html

let me tell u the truth mwaka huu hata kwenye gol diff hatutafika huko lazima kitu kieleweke kumbuka mmetangulia kwa baiskel ya mbao machampion wa ukwel tunakuja
misimamo mpo nafasi ya 4, misimamo gani tena ,

mwenye wivu ajinyonge

pia usisahahu na kwamisimamo tupo juu waulize tiefuefu na hao voda
 
umewasahau wale waigiza filam wa nigeria akina 'IGWE'walivyo watungua home and away i mean gol 4 home kwao then dar- halali akaja na visingizio kibao et ooh tulizuiliwa airport... Ooh! Cjui walituhujum but wakaja kuwanyuka 3-1 home very sad
nini tena hiki, umetoka ndani na kwenda nje, huko ndo sisi nyumbani kwetu. sasa sijui unataka tuongelee mafanikio ya huko nje, au unamaanisha kuwa hamwezi mambo ya soka la kimataifa?
 
kwa hiyo hayo mambo yj soka unayomaanisha ni yale ya TP mazembe 6-3, wale wamorocco 3-0 within 3 minuts, na wale motema pembe 2-0 kama ndo hayo mafanikio unayomaanisha hongera sana kweli nyie nje ndo kwenu
 
Kati ya Toto na Yanga hakuna ushindani, huwa wanacheza ili ratiba ikamilishwe lakini ni wazi kabisa Yanga lazima achukue pointi hasa anapokuwa kwenye wakati mgumu.
Ni kama vile simba anapojichukulia point kwa Lyon na coast union
 
Back
Top Bottom