unazuga tu kila kitu unakijuakwa hiyo hayo mambo yj soka unayomaanisha ni yale ya TP mazembe 6-3, wale wamorocco 3-0 within 3 minuts, na wale motema pembe 2-0 kama ndo hayo mafanikio unayomaanisha hongera sana kweli nyie nje ndo kwenu
unazuga tu kila kitu unakijuakwa hiyo hayo mambo yj soka unayomaanisha ni yale ya TP mazembe 6-3, wale wamorocco 3-0 within 3 minuts, na wale motema pembe 2-0 kama ndo hayo mafanikio unayomaanisha hongera sana kweli nyie nje ndo kwenu
wanapeana magoli tu, mida hiiYembo 4-toto 2
unazuga tu kila kitu unakijua
Full time yanga 4-toto 2
Ni kama vile simba anapojichukulia point kwa Lyon na coast union
wanapeana magoli tu, mida hii
Rufaa zipi unazizungumzia...ni kweli kilakitu nakijua kuhusu kubolonga kwa mishikaki pia nihuzuni sana bora hata hizo rufaa msingezikata maana hii ni aibu yenu
Naomba muendelee kujitokeza hata baada ya tarehe 29.10.2011....Ni kama vile simba anapojichukulia point kwa Lyon na coast union
umewasahau wale waigiza filam wa nigeria akina 'IGWE'walivyo watungua home and away i mean gol 4 home kwao then dar- halali akaja na visingizio kibao et ooh tulizuiliwa airport... Ooh! Cjui walituhujum but wakaja kuwanyuka 3-1 home very sad
Mkuu sio sawa na mechi ya Toto na Yanga, mwaka jana mechi ya mwisho golikipa wa Toto alikuwa anaruka mpira ili uingie golini lengo tu Yanga achukue ubingwa.Ni kama vile simba anapojichukulia point kwa Lyon na coast union
Ngolikipa wa Toto alipewa pesa akakataa mpaka mapumziko yanga ilikuwa haijafunga ndipo yule golikipa akatolewa akaingizwa golikipa namba 2 hapa ndipo goli zipoanza kuingia na kwa heshima hiyo golikipa aliekataa kuwaachia yanga kufunga simba wamemsajili...Mkuu sio sawa na mechi ya Toto na Yanga, mwaka jana mechi ya mwisho golikipa wa Toto alikuwa anaruka mpira ili uingie golini lengo tu Yanga achukue ubingwa.
Mkuu ngoja tuwaache wafurahie ushindi wao wa magumashi dhidi ya Toto, lakini siku wanacheza na JKT Oljoro ndo watajua timu yao ni bora au la kabla hawajakutana na sisi, strikers wao ni wazuri lakini beki yao ni mbovu hadi leo wamekunywa goli tisa, labda kama nao wamewaachia Toto ili kujaribu kupoteza lengo.Ngolikipa wa Toto alipewa pesa akakataa mpaka mapumziko yanga ilikuwa haijafunga ndipo yule golikipa akatolewa akaingizwa golikipa namba 2 hapa ndipo goli zipoanza kuingia na kwa heshima hiyo golikipa aliekataa kuwaachia yanga kufunga simba wamemsajili...
unzaziba machoni kweli kilakitu nakijua kuhusu kubolonga kwa mishikaki pia nihuzuni sana bora hata hizo rufaa msingezikata maana hii ni aibu yenu
gap la points 6 hamziwezi hata mara mojanaona uchungu na wivu vimekujaa, roho inakuuma+kukudunda unapoona jamaa anazidi kuvuta kasi hae relax and dont panic