Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Moro 1 na JKT Ruvu 1, Polisi 1: Mtibwa 1..African Lyon 0 : Ruvu Shooting 2..Kagera sugar 1 : JKT Oljro 2
 
Wandugu, tunaomba updates za Simba v/s Mtibwa kwa walio uwanjani au wenye radio inayotangaza.

Natanguliza shukrani.
 
SIMBA kanyaga twende! Ile timu ya Magamba inaanza kufufuka lakini wasidhani kilasiku ni j3.Ya mwaka jana sahau. SIMBA TAIFA KUBWAAA!
 
SIMBA kanyaga twende! Ile timu ya Magamba inaanza kufufuka lakini wasidhani kilasiku ni j3.Ya mwaka jana sahau. SIMBA TAIFA KUBWAAA!

Hao watani zetu walikuwa wanafadhiliwa na pesa ya ufisadi naona laana ya Watanzania imekula kwao. Na bado, ... mwaka huu hadi washuke daraja!
 
Anatoka Kiemba anaingia Haruna Moshi, Kago naye anatoka anaingia Shija Mkina.
 
Back
Top Bottom