Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 511
next match utasikia wamepigwa 4 na villa,hawa toto sijui wanatumia nini kufikiri
Iko haja ya kuwafanyia fitna hawa washuke daraja kwanza!
next match utasikia wamepigwa 4 na villa,hawa toto sijui wanatumia nini kufikiri
Mpira umekwisha...
Toto Africans 3:3 Simba
Hapana mkuu...Toto ni wazuri sana msimu huu....Huku kukamia kwa TOTO kungekuwa hivi siku zote VPL ingekuwa nzuri sana. Tatizo lao wanatukamia siye tuuuuu...!!!! Hovyo kabisa hawa TOTO. Sijui wanalipwa nini hawa?
Full Time: TOTO 3 SIMBA 3
Angalau tuna point 1 extra/si haba.
Hapana mkuu...Toto ni wazuri sana msimu huu....
Wameanza ligi vizuri na hata ukiangalia perfomance yao so far wamecheza mechi 7 wameshinda 2 wamepoteza 2 na wametoka sare 3....Wana pointi 9 na mpaka kabla ya mechi ya leo walikuwa wanashika nafasi ya 5 katika msimamo wa ligi.....
Ni mchezo tu mkuu...Kwenye mpira kuna kufunga,kufungwa ama kutoka sare....Lolote laweza kutokea......Mbona Toto wamecheza 10 uwanjani kwa zaidi ya dakika 15 na Simba wameshindwa kuwafunga?,ni mchezo tu mkuu wangu...
Simba bado ni wazuri sana...Hata mechi ya leo wameshambulia sana sema kikwazo kilikuwa ni beki ya Toto pamoja na kipa wao....Pia beki yenu na kiungo vimekatika sana leo mtani....tathimini yako mkuu..
Simba bado ni wazuri sana...Hata mechi ya leo wameshambulia sana sema kikwazo kilikuwa ni beki ya Toto pamoja na kipa wao....Pia beki yenu na kiungo vimekatika sana leo mtani....
Ila Kaseja naona na yeye kaanza ugonjwa wake wa kujisahau kama msimu uliopita,mechi 2 tayari kafungwa magoli manne(04),hii ni hatari sana maana kabla ya hapo alikuwa hajafungwa
toto msimu huu walitakiwa wawe zaidi ya hapa walipo, maana wamepata kaudhamini japo kadogo lakini angalau kuliko timu zingine ambao hawana kabisaHapana mkuu...Toto ni wazuri sana msimu huu....
Wameanza ligi vizuri na hata ukiangalia perfomance yao so far wamecheza mechi 7 wameshinda 2 wamepoteza 2 na wametoka sare 3....Wana pointi 9 na mpaka kabla ya mechi ya leo walikuwa wanashika nafasi ya 5 katika msimamo wa ligi.....
.
toto msimu huu walitakiwa wawe zaidi ya hapa walipo, maana wamepata kaudhamini japo kadogo lakini angalau kuliko timu zingine ambao hawana kabisa
tatizo lao ni kwamba wanakomaa zaidi na simba wakati wakicheza wengine wanakuwa nyanya, hasa huko mmwanza yule babake jerry tegete ambaye ni meneja wa uwanja na mnazi mkubwa wa yanga, ndiye anayeongoza fitna za toto dhidi ya simba sasa sijui kwa maslahi ya yanga au ya toto? maana timu zingine zikija kucheza kirumba wala hafanyi hizo fitina
Kaseja atakuona kanda ya ziwa hakufai, kaenda kule hajafungwa goli hata moja karudi na goli nne, mimi kinachonipa faraja juu ya Mnyama tumedraw mechi tatu zote za ugenini hao wote wakija nyumbani Azam, Kagera, Toto wote chapa goli nyingi sana.
Mzunguko wa kwanza tumebakisha mechi ngumu ni ya Mtibwa, JKT ruvu na Yanga.
sasa kama sunzu kaumia sana mechi yetu na mtibwa tuna kazi kubwa..
Mkuu kandambili usiwechukulie poa wanaweza kuharibu mipango yetu na kwa jinsi walivyoteteleka hapo mwanzoni.no! Ni mechi mbili tu,JKT RUVU na MTIBWA! kandambili sidhani
Mkuu kandambili usiwechukulie poa wanaweza kuharibu mipango yetu na kwa jinsi walivyoteteleka hapo mwanzoni.
Mmmh hizi dharau mwisho wake hauko mbali, tungoje tuone.no! Ni mechi mbili tu,JKT RUVU na MTIBWA! kandambili sidhani
Mmmh hizi dharau mwisho wake hauko mbali, tungoje tuone.
kombo shukuru mungu mumemchakachua refa akawapa goli la 3 lenye utata mkubwa,pia simba kabebwa mpk mbeleko imechanika,mpk toto wapewe red card ndio msawazishe?leo kama sirefa kuwabeba waziwazi simba alikua afungwe 6,firsta half 3 and second half 3. Kweli toto ni noma.Huku kukamia kwa TOTO kungekuwa hivi siku zote VPL ingekuwa nzuri sana. Tatizo lao wanatukamia siye tuuuuu...!!!! Hovyo kabisa hawa TOTO. Sijui wanalipwa nini hawa?
Full Time: TOTO 3 SIMBA 3