TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Yule mtu wa Kigoma fyongo sn
Yule jamaa nikumkalisha bench tu.
Yule mtu wa Kigoma fyongo sn
Ntaku text!Ooh uko mitaa yetu vp kwetu pazuri ama?
Yeah ni kweli nimekumiss kimya kingi mandieta
everton2-0arsenal.
Jkt ruvu0-2yanga.
Nimetoka kuongea na wachezaji wa jkt ruvu wamenambia kandambili hawatoki leo!
Hawa jkt mbona wananiangusha sasa.
eti enheee ni vizuri pia..
pole sana mate hao jkt kwa yanga ni jumba bovu!
pole sana MATE hao jkt kwa YANGA ni JUMBA BOVU!