Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
dk 19, kipindi cha 2,


JKT Ruvu 0-5 Yanga.
 
Minziro kauza timu huyo, hiyo ndo tiketi ya kurudishwa Yanga.
 
dk 23, kipindi 2,


JKT RUVU 0, YANGA 5.
 
Hawa watangazaji wa TBC1 cjui huwa wanawatoa wp,wanatangaza mpira kila cku lkn still bado hawawajui Wachezaji,mtu anamwita Hussein Javu Juma Javu...period!!!!

Unaniambia mimi mkuu Anselm ?
 
Last edited by a moderator:
dk 29, kipindi cha II;


JKT RUVU 0-5 YANGA
 
Ligi hovyo hovyo .. sasa ni mashindano ya pochi la Manji vs la Bakhressa ...
 
Kwani JKT Ruvu hapo uwanjani mmeaimama wakati Yanga tunacheza? Hahaaaaaaa, wewe Daudi1 umekimbia wewe nilijua tu.
 
Last edited by a moderator:
dk 36, kipindi cha II;


JKT RUVU 0-5 YANGA
 
Back
Top Bottom